Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Unajuaje kama mimi si mkuu wa mkoa? Wewe hujui haya mambo, diplomasia itafuata lakini huu uhuni wa kutuchezea ukomeshwe kwanza. Kama kwa mfano Kenya wanafahamu diplomasia basi wasingekuwa wanasema watanzania wana corona. Yaani wanapima Wakenya na Watanzania wanaotoka Tanzania ati unakuta Watanzania tu ndio wana corona!!! Utadhani Wakenya wakiwa Tanzania hawaongei na hao wenye corona. Waache uhuni.Hilo ndilo ninaloshauri kwamba watu wenye mtazamo kama wako kamwe wasije kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa ya mipakani - ni wazi watu wa aina yako mpo wengi!