KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 536
Kibaha mjini
Segerea
Shinyanga mjini
karagwe
Kigoma mjini
Mbeya vijijini
Sumbawanga vijijini
Tarime
Kilombero
ulanga magharibi
Mbozi mashariki
hanang
Busanda
Muleba
Nkasi
Ukonga
Majimbo haya usingekuwa uchakachuaji, yalishakuwa mikononi mwa chadema, na CCM walishapoteza udhibiti wa bunge theluthi mbili ya kupitisha maamuzi. Kwa ujanja wakahakikisha kuwa tukichanganya wapinzani wote tuishie below 60 seats.
imenisonosesha na kuumiza roho yangu.
Ipo siku hukumu ya watanzania itawashukia CCM na mafisadi wao.
Ee Mungu tunakuomba uwatie nguvu watanzania ili wajinasue katika minyororo ya CCM kabla ya mwaka 2015. Amen
Segerea
Shinyanga mjini
karagwe
Kigoma mjini
Mbeya vijijini
Sumbawanga vijijini
Tarime
Kilombero
ulanga magharibi
Mbozi mashariki
hanang
Busanda
Muleba
Nkasi
Ukonga
Majimbo haya usingekuwa uchakachuaji, yalishakuwa mikononi mwa chadema, na CCM walishapoteza udhibiti wa bunge theluthi mbili ya kupitisha maamuzi. Kwa ujanja wakahakikisha kuwa tukichanganya wapinzani wote tuishie below 60 seats.
imenisonosesha na kuumiza roho yangu.
Ipo siku hukumu ya watanzania itawashukia CCM na mafisadi wao.
Ee Mungu tunakuomba uwatie nguvu watanzania ili wajinasue katika minyororo ya CCM kabla ya mwaka 2015. Amen