Yaliyotokea juzi msibani ni ya kutisha. Sina hamu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Tegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini.

Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetani.

Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari.

Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo.
 
Kwa hiyo ulitaka wamwachie shetani (baba wa uongo) aendelee kuwapa za chini ya kapeti. Siingekuwa balaa tena.
 
Vifo vya usingingizini vipo , hasa kwa watoto, tusianze kutafuta mchawi kwa vitu ambavyo hata tabibu zinasema vipo.

Mtoto hajui swala la umuhimu wa pumzi anaweza kulala akiwa ameblock njia za hewa na asijue in first place kuwa ni fatal, kimya kimya anapotea , hiyo Dada aliyepandisha mashetani amechukua advantage tu Hana lolote
 
Hakuna cha kutisha hapo mkuu, sisi wenye watoto (wazazi) tuna mengi sana ya kujifunza kuhusu makuzi na afya ya watoto wetu. Pia tunapaswa kuzingatia ushauri wa kitaalam jinsi ya kuwalaza watoto wetu wenye umri mdogo (wanao hitaji uangalizi)
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom