Poleni na msiba, kwa nini unaleta habari kama trailer za muvi?
Mkuu juzi juzi toka tarehe ile ya Simba na yanga , Niko msasani maandazi road nimekaa sehemu ilikua SAA mbili hv usiku , ..ghafla alikuja kijana analalamika mkono na mguu vina poteza nguvuMkuuu NILISHTUKA SANA
walinikumbushaa miaka KUMI iliopita nilikuwa na ka GFRIEND tukaachana akapata MTU sasa sijajua ALIKUWA mumewàmtu ama LAH mke akamnyoosha
Alipofika.kwenda kuzika dah
NDUGU wanne wanalia kaburini jamani mnazika mgombaaaa mwingine anasemaa mdogoowangu unatesekaaa hivii umekosea wapii tunazika mgomba
Aisee usisikie kwa watu
Dah aseeMmefanya makosa makubwa sana kuuzika mwili ungemuita mchungaji aje auombee mwili au mngempigia simu Mshana jr tungempata mtoto fasta
Gwajima atawaibia huwa afanye maombi hvhv without pay Mshara upo humu all time mngemchek ata PM ange reply maana kiboko ya wanga na mashetanMshanaa alifunga SIMU mkuu
Else NILITAKA ajekumrudishaa
Nilitafta sana namba ya gwajma nkakosa