Hivi shetani ana wadogo zake? Maana kwa mujibu wa kitabu kitakatifu "BIBLIA" shetani mmoja tu, na ana-reside huko kuzimu.Tegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini.
Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetani.
Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari.
Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo.
Mmefanya makosa makubwa sana kuuzika mwili ungemuita mchungaji aje auombee mwili au mngempigia simu Mshana jr tungempata mtoto fastaTegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini.
Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetani.
Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari.
Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo.
Hiyo ndo dawa ya wanaojifanya kupandisha mashwetanHiyo ni "sudend infant death" (SID). Hakuna cha mashetani. Huyo wangempiga vibiko tu kwa kujifanya kuwa ana mashetani.
Tena siku hizi tuna bahati Pdidy haandiki kwa capital letter pekee 😀 Stori ndio imeshaisha hivyooo.
Ebu tuliza stress utusimulie vzuri, kwahiyo mtoto akafufuka?
Hutakaa umwelewe Pdiddy kamwe. Soma post zake nyingine kama utaelwa, Thank me laterEbu tuliza stress utusimulie vzuri, kwahiyo mtoto akafufuka?
Huyo ndio pdidy bwana ye hana habari na mtuHahaha na zile unaanza kama kuelewa anachomaanisha kisha anaingizia stori mpya humo humo anakuacha unang'aa macho
Natamani kumuona siku mojaHuyo ndio pdidy bwana ye hana habari na mtu
Ukishamzoea jamaa unajikuta alichokiandika unakielewa vizuri.
Mkuu una haraka kama umebanwa na tumbo la uharo tulia ulete story ukaelewekaPoleni na msiba, kwa nini unaleta habari kama trailer za muvi?
Yaani hapo bado hajakuandikia kwa herufi kubwa huku kabold yaani ni anakufokea huku hakupi nafasi ya kumuelewa
HahahaaNatamani kumuona siku moja
Yaani siku ambayo nitashikwa na msongo wa mawazo kisha nidhurike,ni siku ambayo nitakuwa sina access na JF.msongo utanielemea.
Pdidy achana na na mambo hayo nakumbuka mwanangu aliteseka kwakua nilifanya siamini upande wa pili ila nilvyo pelekwa na mchizi mpaka leo Miaka 14 anadunda waswahili sio watuTegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini.
Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetani.
Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari.
Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo.
Pdidy achana na na mambo hayo nakumbuka mwanangu aliteseka kwakua nilifanya siamini upande wa pili ila nilvyo pelekwa na mchizi mpaka leo Miaka 14 anadunda waswahili sio watu
Pdidy achana na na mambo hayo nakumbuka mwanangu aliteseka kwakua nilifanya siamini upande wa pili ila nilvyo pelekwa na mchizi mpaka leo Miaka 14 anadunda waswahili sio watu