Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,901
- 453,430
Hahahahah halafu akija hajibu kitu anaendelea na mambo mengineKama unafikiri Pdidy hua anajisumbua kuelewesha watu kutokana na alichoandika mkuu fanya mambo mengine hapa ndiyo ishapita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah halafu akija hajibu kitu anaendelea na mambo mengineKama unafikiri Pdidy hua anajisumbua kuelewesha watu kutokana na alichoandika mkuu fanya mambo mengine hapa ndiyo ishapita
Wanapaswa wamuelewe.....Imeisha hiyo, huyo ndiye Mpwa Pdidy.
Wanapaswa wamuelewe.....
Hahaha na zile unaanza kama kuelewa anachomaanisha kisha anaingizia stori mpya humo humo anakuacha unang'aa machoHahahahah halafu akija hajibu kitu anaendelea na mambo mengine
Na ameacha kubananisha maneno...anaacha space..hatari Sana yaaniTena siku hizi tuna bahati Pdidy haandiki kwa capital letter pekee 😀 Stori ndio imeshaisha hivyooo.
Mmh hahaaa story nzima alikuwa anaandika kwa capital letter mbona hatariTena siku hizi tuna bahati Pdidy haandiki kwa capital letter pekee Stori ndio imeshaisha hivyooo.
Mmh hahaaa story nzima alikuwa anaandika kwa capital letter mbona hatari
Dah yaani nimecheka sana leo.Na ameacha kubananisha maneno...anaacha space..hatari Sana yaani
Nikajua msiba wa mkapaTegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini
Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetanii
Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari
Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo
Tegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini
Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetanii
Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari
Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo
Don
Did u haha hahahaaaaaaaaa
Mkuuukulajuiceyabukunakujalipawekaresityaefd pembeni
Hawamuelewi mpwa hapo ndio katulia hajamkuta enzi zake.Huyu ndio Diddy mzoee tu.
Mkuu ukitaka kuchanginyikiwa tafuta nyuzi miaka3 nyuma..kama hujapata kizunguzunguDah hizi comments nimecheka sana
Mzee baba pddy kumbe hasomekagi na watu wamelikubali hilo na maisha yanaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona ni kijana 26yrs au kuna mtoto mwingine basi kama ni hivyo balaa sasa!Tegeta ukipanda juu kama unaenda Wazo kulia kuna flats zilikuwa za NHC nahisi wameziuza now. Nilipokea msiba wa mtoto mdogo aliefariki usingizini.
Bahati nilijuana na ndugu yake mmoja ikaniuma sana. Wazazi salini sana na watoto wenu shetàni anapità kila kona. Juzi siku ya maziko alitokea mdada mmoja ndugu yao sikujua kwa mwanaume ama mke alipandisha mashetani.
Yale mashetani yalianza kutaja mtoto wenu tumemchukua sisi bahati akawahi kutajà jinà moja. Shangazie wakamwahi kumfunga mdomo huku wananchii wakiomba aachiwe ndugu wakamchukua faster kwenye gari.
Atukujua alipoelekea hata mazikoni (makaburini) hakuwepo.
We ni mgeni JF eee??Ebu tuliza stress utusimulie vzuri, kwahiyo mtoto akafufuka?