Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Jana usiku hapa mabibo hostels, zilipgwa yowe za mwiziii,yowe hzo zlitokea block A, ambalo kwa kawaida ni block linalokaliwa na wasichana, basi sis wanafunzi tulivosikia hzo kelele tukatoka fasta na kuja kuangalia ni nini kimetokea, tukakuta ni mkaka wa watu kapigwa sana {sijui kama bado yuko hai au kafa} sasa leo ukwel umejulikana, huyo kaka alikuwa ana promise ya kukutana na gal flani hapo hostel, yule gal akaona ampotezee kwa kumsingizia mkaka wa watu mwizi!
Wanawake nyie jaman, hebu kuweni na huruma, yani pesa ya watu mtu kala na bado anamsingzia mwizi.
Wanawake nyie jaman, hebu kuweni na huruma, yani pesa ya watu mtu kala na bado anamsingzia mwizi.