BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,682
- 3,391
Habari za j pili wana jf,
Jana mwenzenu yamenikuta makubwa,baada ya uchovu wa kutwa nzima hatimae kidume nikaona nilale mapema coz kiubarid kilikuwa swaaaaaafi.
Nimeingia geto nikachojoa nguo zote nikabaki na Boxer150.
Nikajibwaga kitandan mara ucngiz huoooo.Mara ghafla mida kama ya saa 7 hivi nikasikia mlango wa getto unagongwa nami sikusita kuinuka nakuuliza ninani?
Akanijibu kwakunielewesha vizuri tu nami nikamuelewa na nikafungua mlango,kumcheki mshikaji MIRABAMINNE(Baunser).
Akaniambia anaomba alale usiku ule hapa kwangu tabata coz amechelewa kwenda kwake Sinza,kwakuwa namfahamu nikamkubalia nami nikapanda kitandani nikalala.
Chaajabu mwenzangu akavua nguo zoote akapanda kitandani Duh!Nikampa shuka ajifunike akakataa na kusema anahisi joto,mh!mwanaume nikaanza kujiuliza huyu mshikaji vipi?au anataka kunichenjia nini?nikapiga moyo konde.
Jamaa mara ajigeuze kushoto mara kulia.
Niakaanza kuchezea cm ili itoe mwanga nione kama dushell yake ipo wima nikaona imesinzia,Ghafla maswali ya kichokozi yakaanza,kidume nikawa nayapangua moja baada ya lingine,mara akaanza kunishika na kuniahidi nikikubali kumgegeda atanikat.ik.ia mpaka basi.
Nikaona majanga nikakataa katukatu,akaanza kunifosi duh nikimwangalia ni kipande cha mtu.
Nikamwambia wait nikainuka nikafungua chandarua nikasepa nacho sebuleni nikamfungia mlango kwa nje.
Kiustaarabu nimemfungulia asubuhi na kumuamuru asepe na asirudi.Poleni kwa thread ndefu nipeni pole mwenzenu.
Jana mwenzenu yamenikuta makubwa,baada ya uchovu wa kutwa nzima hatimae kidume nikaona nilale mapema coz kiubarid kilikuwa swaaaaaafi.
Nimeingia geto nikachojoa nguo zote nikabaki na Boxer150.
Nikajibwaga kitandan mara ucngiz huoooo.Mara ghafla mida kama ya saa 7 hivi nikasikia mlango wa getto unagongwa nami sikusita kuinuka nakuuliza ninani?
Akanijibu kwakunielewesha vizuri tu nami nikamuelewa na nikafungua mlango,kumcheki mshikaji MIRABAMINNE(Baunser).
Akaniambia anaomba alale usiku ule hapa kwangu tabata coz amechelewa kwenda kwake Sinza,kwakuwa namfahamu nikamkubalia nami nikapanda kitandani nikalala.
Chaajabu mwenzangu akavua nguo zoote akapanda kitandani Duh!Nikampa shuka ajifunike akakataa na kusema anahisi joto,mh!mwanaume nikaanza kujiuliza huyu mshikaji vipi?au anataka kunichenjia nini?nikapiga moyo konde.
Jamaa mara ajigeuze kushoto mara kulia.
Niakaanza kuchezea cm ili itoe mwanga nione kama dushell yake ipo wima nikaona imesinzia,Ghafla maswali ya kichokozi yakaanza,kidume nikawa nayapangua moja baada ya lingine,mara akaanza kunishika na kuniahidi nikikubali kumgegeda atanikat.ik.ia mpaka basi.
Nikaona majanga nikakataa katukatu,akaanza kunifosi duh nikimwangalia ni kipande cha mtu.
Nikamwambia wait nikainuka nikafungua chandarua nikasepa nacho sebuleni nikamfungia mlango kwa nje.
Kiustaarabu nimemfungulia asubuhi na kumuamuru asepe na asirudi.Poleni kwa thread ndefu nipeni pole mwenzenu.