Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Wengi tu mbona wanafua mpaka pichu lakini anampa mke nguo akaanike nje eti majirani wasijue kama yeye anafua.Majukumu kusaidiana mkuu. Wala usione hiyo ni adhabu
Tatizo akiamka asubuhi anapanga majukumu,yale majukumu mazito kama vile kuchota maji kisimani,kufua nepi za mtoto,kudeki ndani,kupika,kuosha vyombo ananipangia mimi!Mbona kawaida tuu haonekani kama anakuoazimisha ufanye hivyo coz nae yupo anafanya shughuli nyingine!
Hayo ndio mapenzi unataka kila kitu afanye mwanamke tuu!
Nao ni binaadamu wanachoka kama ww! Ukipata nafasi ya kumsaidia msaidie tuu wala sio dhambi
Alilipa yeye mahari kwenu au ulilipa wewe mahari kwao?Tatizo akiamka asubuhi anapanga majukumu,yale majukumu mazito kama vile kuchota maji kisimani,kufua nepi za mtoto,kudeki ndani,kupika,kuosha vypmbo ananipangia mimi!
Yupo busy kunipangia majukumu kama hayo mkuu!Ni mda mrefu sijamuona House girl uku JF
Eti mahari nimelipa mimi!!.......Nisaidieni please!Alilipa yeye mahari kwenu au ulilipa wewe mahari kwao?
Haha! Hata akimpa mke akaanike haibadili maana kwamba amefuaWengi tu mbona wanafua mpaka pichu lakini anampa mke nguo akaanike nje eti majirani wasijue kama yeye anafua.
Acha hizo rafiki,nikomboe kwenye hili janga!naona mnapika kitu cha wali nazi
Jiangalie tena wewe ni wa jinsia gani, labda mpaka sasa hivi hujajifahamu.Eti mahari nimelipa mimi!!.......Nisaidieni please!
Hapana,yeye kila kukicha wimbo wake wa Taifa ambao anaimba deile na kila saa ni haki sawa!Jiangalie tena wewe ni wa jinsia gani, labda mpaka sasa hivi hujajifahamu.
Basi mwambie awe pia anakugegeda kama anataka fursa sawa.Hapana,yeye kila kukicha wimbo wake wa Taifa ambao anaimba deile na kila saa ni haki sawa!
!Basi mwambie awe pia anakugegeda kama anataka fursa sawa.