Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

mm nilikutana na mwanafunzi wa chuo nikajidai na piga sound, mara paap tunaanza itana darling, na mm nikatumia iyo oportunity kuomba show, jibu likaja fasta "But utanilipa" nika muuliza sh ngapi akajibu 70,000/= mwisho 50,000/= nikasema hela yote hiyo bado lodge ujalipa, hamjala +kunywa bado akuambie nitumie naul nika ona ni ujinga nikanunua wine yangu safi nikaenda kujiburudisha home
Hiyo kawaida ndo gia ya kuanzia, wengine wanaanzia laki moja but mwisho wa siku unagonga kwa 10, 000 au 15000....
 
Dunia haina huruma na hao wanawake ha
Wakati nimehamia sasa hapa mkoani Mbeya ilifika kipindi bwana nina ugwadu hatari, sina mke wala demu. Katika pita pita za hapa na pale nikasikia kuwa pale njiani majira ya usiku kunakuwa na danguro saaaafi kabisa.

Siku hiyo nikatoka zangu mwenyewe mdogo mdogo nikaelekea Maeneo ya Mafiati kwenye mataa pale.

Kweli nikawakuta wamezagaa katika mawindo yao. Sasa sikuwa na uzoefu na hawa watu nikawa nimesimama pembeni kwa mbali kidogo natafuta taiming ya kuwaingilia

Nikawa nashuhudia jinsi wanavyowatukana wanaume ambao walionekana wazi kuwazingua kwa namna moja ama nyingine.

Niliposogea eneo la tukio, wakanikimbilia kama watatu hivi na kunambia kwaiyo kaka vip "Twende basi" Nikaangalia mmoja ambaye niliamin kuwa angenifaa na kupita naye kuelekea katika maeneo yao ya kutolea huduma.

Huduma ilikuwa inatolewa kuanzia shilingi elfu tano (kwa muda mfupi) na kuendelea.

CHANGAMOTO NILIZOKUTANA NAZO.

Kwakuwa nilikuwa mgeni na haya mambo, nilidhani kuwa nitapata huduma kama zile nilizokuwa napata kwa mpenz wangu niliyemuacha kule kijijini. Dooooh kumbe bwana ni chomeka, kojoa , ondoka.

Aisee nilihuzunika baada ya kutumia chini ya dakika moja nishamaliza kila kitu, ikabidi nivunge japo kishingo upande.

Nikaona sio kesi, kwakuwa sijatosheka ngoja nikaokote matirio nyingine kwa huduma zaidi. Nilipotoka nje nikaona bora tu nikalale haina haja tena.

Lakini baada ya wiki moja moyo wangu ulinituma tena niende pale pale nikapunguze kidogo ugwadu.
Hapo sasa ndipo pamenifanya mpaka leo sitamani tena kurudi, wala kujihusisha tena na wale watu.

AISEE
Nilimchukua dada mmoja, tukaenda katika chimbo ambalo anatumia. Hapa haikuwa ndani ilikuwa ni nyuma tu ya jengo flani kuna ukuta na kuna giza totoro. Kibaya zaidi pale mlangoni kulikuwa na mlinzi (Mgambo) lakini wale wadada walikuwa wanamlinda kwa chochote na wanaingia kule.

Ebwana nilikuwa kirundo cha watu wakiendelea kuchakatana. Yaani huyu kainamishwa hapa, yule kalazwa pale anajifanya anaugulia uongo uongo, wengine wanaelewana bei yaani ilikuwa ni uchafu kwakweli.

Daah nikajifikiria busara yangu na hekima nilonayo. Itakuwaje kama nikikutana na mtu anayenijua? Ukizingatia mimi ni mfanya biashara ambaye nilikuwa najulikana kwa kiasi flani.

Daah nikapiga moyo konde, kumwambia yule dada kuwa aniache tu nirudi ingawa pesa yake nilimlipa kama alivyotaka.

- mazingira yalikuwa machafu sana
- Watu walifanya uchafu wazi wazi na bila staha wala kuonana aibu
- Mwanaume mwenzako anakusubiri umalize chap chap umpe nafasi naye afanye yake

Nilirudi nyumbani na kumuomba sana Mwenyezimungu anisaidie, anitie nguvu katika imani na pepo mchafu aniondoke.

Namshukuru Mungu kwa sasa nimeoa , ingawa sisemi kama sichepuki ila kiasi flani naiona nguvu ya maombi yangu na kule mafiati bwana sijarudi Tena

Nina watoto wawili sasa.
Waeeleweki utashangaa inawezekana wengi hata waliokuwa wanainamishwa huko ukutani ni wake za watu.Kwahiyo kuoa kwako sawa ila Hii Dunia bwana ione tu hivi hivi! Kuna siri nyingi
 
mm nilikutana na mwanafunzi wa chuo nikajidai na piga sound, mara paap tunaanza itana darling, na mm nikatumia iyo oportunity kuomba show, jibu likaja fasta "But utanilipa" nika muuliza sh ngapi akajibu 70,000/= mwisho 50,000/= nikasema hela yote hiyo bado lodge ujalipa, hamjala +kunywa bado akuambie nitumie naul nika ona ni ujinga nikanunua wine yangu safi nikaenda kujiburudisha home
Ulifanya jambo jema na huenda Mungu alikubariki.
 
Heheh siku nyingine nikaenda machimbo ya Temeke karibu na Twiga hotel kwa wahaya wenye vyumba vidogo vidogo.

Nikamkuta masai ndo anawalinda na masai lazima umwachie kitu nje,kidogo tu difenda ya polisi hiyo hapo wanakuja kukamata daah tulikimbia kama vichaa
daaahhh nmecheka kama mazuri...
ukikamatwa tu..
hapo next day unajikuta mbele ya camera na Mambosasa anakusomea mashtaka.
 
Ebhana si niliendaga Kimboka enzi hizo natembea usiku nikapata manzi kwa buku tatu,picha linaanza tuko kwenye foleni kusubiria chumba.

Kuingia ndani akashika ukuta na kunivalisha kondom muda huo ashachukua hela ebhana naingiza kidogo tu akanambia hela imeisha akanitolea kisu.Nikawa mpole nikava afu nikatoka nje,kufika nje polisi hao hapo mbele yangu ikabidi nirudi Kimboka tena maana kule hawaingii wanakamata waliopo nje tu.
Heheh siku nyingine nikaenda machimbo ya Temeke karibu na Twiga hotel kwa wahaya wenye vyumba vidogo vidogo.

Nikamkuta masai ndo anawalinda na masai lazima umwachie kitu nje,kidogo tu difenda ya polisi hiyo hapo wanakuja kukamata daah tulikimbia kama vichaa
polisi na ww, ww na polisi
 
Usipite kichochoroni tu...kuna siku nipo pale Kimboka kuliwa kuna muziki jmosi sasa malaya wote wanapanda kwenye kile kijukwaa wanakatika kuna mmoja ni bubu wenyeji wanamjua.

Alipanda malaya mmoja mdogo ana tako sio poa si akamaliza kucheza nikamfata nje akaelekea kwenye kile kichochoro kugeuka nyuma wahuni kama saba wamenizunguka nikajitetea sana wanadai wanataka simu nikawapa buku tano wakaniacha,kumbe ni kundi moja na yule manzi wakaenda kugawana nawaona.
we jamaa una visanga na hawa wauza nyapu
 
Kuna siku naenda kutafuta malaya mtaa mmoja karibu na mtaa wa Stereo saa nne watu wote wamelala yaani kama kijijini hivi napishana tu na mateja nilikuwa naogopa sana maana mtaa umetulia tulii hata mbwa habweki...najisemea moyoni hivi teja akinipiga kisu nikafa,msiba ukienda home ni aibu tupu nilikufa nikienda kutafuta malaya
nkupe mbinu
ukiwa unatembea mitaa yenye mateja mida ya usku, na ww vaa rafu yaan hakuna atayekukaba ila ukivaa smart ujue imeisha hyoooooo
 
Back
Top Bottom