IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Hiyo kawaida ndo gia ya kuanzia, wengine wanaanzia laki moja but mwisho wa siku unagonga kwa 10, 000 au 15000....mm nilikutana na mwanafunzi wa chuo nikajidai na piga sound, mara paap tunaanza itana darling, na mm nikatumia iyo oportunity kuomba show, jibu likaja fasta "But utanilipa" nika muuliza sh ngapi akajibu 70,000/= mwisho 50,000/= nikasema hela yote hiyo bado lodge ujalipa, hamjala +kunywa bado akuambie nitumie naul nika ona ni ujinga nikanunua wine yangu safi nikaenda kujiburudisha home