Yaliyomsibu kaka yangu

Duh kwani mpaka leo watu bado wanaogoba umeme?? Na technologia zote hizi. Au usumbufubwa kumpeleka mwenza clinic
 
Kaka yangu hajaoa ingawa alikuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu yaliyompatia watoto wawili wakike. Yeye na girls mother waliachana dada yule alipata mtu na kufunga nae ndoa ya kanisani. Imefika wakati kaka alianza kutafuta.

Humu JF kaka alimpata mdada mmoja. Very independent woman, Ana career, nyumba na maisha yake kwa kweli. Hajawahi kuolewa na kwake mabinti wa kaka haikua shida.

Wameanza dating, kwa miezi sita, kumbe dada ni muathirika na yuko kwenye dawa pendwa. Wakiwa pamoja alimlia timing kaka akiwa msalani mdada anabugia vidonge.

Kaka alishtukia hilo, sikumoja wakiwa Bagamoyo weekend, kaka alijifanya anakwenda msalani, alijiegesha kwenye mlango wa choo, ile dada anafungua handbag na kuchukua dawa jamaa amejaa.

Mahusiano yaliishia hapo. Kaka alijicheck yuko poa. Alimshukuru Mungu maisha yakaendelea.
Pole sana kwa kaka,,Mungu anatuepusha sana,,
Kuna dada angu pia alipata mkasa kama huu sema ni tofauti kidogo
walianza maisha katika hali ya chini sana Dada angu ndo alikuw amehitmu stashahada ya ualimu akaenda zake mwanza ndo akakutana na mkaka wakaanza kudate,,huyo kaka alikuw mwalimu wa primary wakaridhiana kuishi pamoja mpk Mungu akawabariki mtoto mmoja wa kike
wakat anafundsha huyo kaka alikuw na jiendeleza akafanya mtihan wa kitado cha sita akafaulu
Wakakubaliana mwanaume ndo aende kwanza kusoma chuo,akafanya application akapata chuo Tanga
akiwa chuoni kuna ela alikuwa anadaiwa kama milioni na laki sita (1.6m) alaf hakuwa nayo ela,,
lakin dada angu kwa kuwa alikuw anapenda maendeleo ya mume wake aliitafuta akamlipia bwana wake
baada ya shemeji yangu kutoka chuo akarudi mwanza
Dada angu nae akaenda chuo kikuu
huko Tanga
kilichokuja kutokea kipindi ambacho dada angu yuko chuo Tanga kumbe jamaa akaanza umalaya yani akawa anachepuka na wanawake bila mpangilio mpaka akanasa lile gonjwa la kisasa
siku moja dada akarudi kutoka chuo alipofika tu nyumbani marafiki wa dada wakampasha habari kuwa mume wake kabarika sana ana michepuko haina idadi
kilichotokea siku hiyo wakati anataka kwenda akiwa na mumewe chumbani akili ikamtuma aangalia uvunguni mwa kitanda
alishangaa kuona kondomu kibao zilizotumika,,yaani jamaa alikuw anachomoa kondom na kurushia uvunguni
chanzo cha kuvunja mahusiano kikaanza hapo
kesho yake dada akashinikiza waende kupima
wakaenda kupima
dada akaonekana yuko salama
bt uye jamaa amenasa
hawakuridhika wakaenda kituo kingne wakapima kwa kutumia vifaa bora zaidi dada akawa mzima bt jamaa amenasa
lakini mwanaume akawa haamini wakaenda tena sehemu nyingne majibu yakawa yaleyale mwanamke mzima mwanaume amewaka
japokuw dada alimpenda sana huyo mwanaume alijitoa kwa kila kitu kumsapoti lkn kilichokuja kutokea hakuamin macho yake
Dada alikuwa analia tu muda wote akikumbka walkotoka
alivomsadia huyo mwanaume mpka ahitimu chuo kikuu
wakanunua viwanja
wakajenga nyumba
alikuw akikumbka anabaki analia tu
lkn kwa hili aliamua kumkataa huyu mwanaume
dada alifuata process zote,,
kesi yake alishinda mwaka jana
kwa sasa anaendelea na maisha yake
ameshasaheme yote yaliyotokea japo kila mtu ana maisha yake kwasasa
huyo mwanaume alishakuw kichaa tu kwasasa anapiga watu hovyo

Hii ndo Dunia.


'Gear yourself to solutions in every problem'
 
Pole sana kwa kaka,,Mungu anatuepusha sana,,
Kuna dada angu pia alipata mkasa kama huu sema ni tofauti kidogo
walianza maisha katika hali ya chini sana Dada angu ndo alikuw amehitmu stashahada ya ualimu akaenda zake mwanza ndo akakutana na mkaka wakaanza kudate,,huyo kaka alikuw mwalimu wa primary wakaridhiana kuishi pamoja mpk Mungu akawabariki mtoto mmoja wa kike
wakat anafundsha huyo kaka alikuw na jiendeleza akafanya mtihan wa kitado cha sita akafaulu
Wakakubaliana mwanaume ndo aende kwanza kusoma chuo,akafanya application akapata chuo Tanga
akiwa chuoni kuna ela alikuwa anadaiwa kama milioni na laki sita (1.6m) alaf hakuwa nayo ela,,
lakin dada angu kwa kuwa alikuw anapenda maendeleo ya mume wake aliitafuta akamlipia bwana wake
baada ya shemeji yangu kutoka chuo akarudi mwanza
Dada angu nae akaenda chuo kikuu
huko Tanga
kilichokuja kutokea kipindi ambacho dada angu yuko chuo Tanga kumbe jamaa akaanza umalaya yani akawa anachepuka na wanawake bila mpangilio mpaka akanasa lile gonjwa la kisasa
siku moja dada akarudi kutoka chuo alipofika tu nyumbani marafiki wa dada wakampasha habari kuwa mume wake kabarika sana ana michepuko haina idadi
kilichotokea siku hiyo wakati anataka kwenda akiwa na mumewe chumbani akili ikamtuma aangalia uvunguni mwa kitanda
alishangaa kuona kondomu kibao zilizotumika,,yaani jamaa alikuw anachomoa kondom na kurushia uvunguni
chanzo cha kuvunja mahusiano kikaanza hapo
kesho yake dada akashinikiza waende kupima
wakaenda kupima
dada akaonekana yuko salama
bt uye jamaa amenasa
hawakuridhika wakaenda kituo kingne wakapima kwa kutumia vifaa bora zaidi dada akawa mzima bt jamaa amenasa
lakini mwanaume akawa haamini wakaenda tena sehemu nyingne majibu yakawa yaleyale mwanamke mzima mwanaume amewaka
japokuw dada alimpenda sana huyo mwanaume alijitoa kwa kila kitu kumsapoti lkn kilichokuja kutokea hakuamin macho yake
Dada alikuwa analia tu muda wote akikumbka walkotoka
alivomsadia huyo mwanaume mpka ahitimu chuo kikuu
wakanunua viwanja
wakajenga nyumba
alikuw akikumbka anabaki analia tu
lkn kwa hili aliamua kumkataa huyu mwanaume
dada alifuata process zote,,
kesi yake alishinda mwaka jana
kwa sasa anaendelea na maisha yake
ameshasaheme yote yaliyotokea japo kila mtu ana maisha yake kwasasa
huyo mwanaume alishakuw kichaa tu kwasasa anapiga watu hovyo

Hii ndo Dunia.


'Gear yourself to solutions in every problem'
Abarikiwe dada yako, mkataa pema pabaya panamuita.
 
Its not a miracle case, waathirika waliokwenye matumiz mazuri ya arvs (nasisitiza matumiz mazuri) huwa hawaambukizi maana akiweza kumaintain concentration ya dawa mwilin kwa kuzingatia kumeza dawa kwa wakat idadi ya virus kwny damu yake inashuka to almost zero (less than detectable level) kwa hali hii hawez ambukiza kirahis...
Ndio maana siku hz kuna couples kadhaa mmoja ni muathirika na mwingne sio muathirika lkn na wanapata mtoto asiye na maambukiz (hii inamaanisha wanasex bila condoms lkn hawaambukizan)
Na maisha yanaendelea kama kawa...
Nadhan broo angepata mshauri mzuri asingeachana na huyo bibie bali wangepewa ushauri namna ya kuish bila kuambukizana...
Ukimwi unasambazwa na waathirika wasiojijua kama wameathirika hvyo hawatumii dawa kabisa na ambao hawazingatii dawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi ndugu ila inahitaji moyo pamoja na mwathirika kujitambua pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom