Yaliyomsibu kaka yangu

Kwani huyu walishindwa nini kupima? Hadi wafahamiane na wabanduane walishindwa nini kupimana?
Kama sio mpimaji basi ajiandae tu hata hao wa kazini watamkamata tu.

Hapa tatizo sio wa mtandaoni bali ni huyo kaka yako, seems hana mazoea ya kupima kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya. Hivyo hilo liwe funzo. Lakini pia akumbuke anayetumia dawa vipimo vitaonyesha -ve
Fact ubarikiwe mpendwa
 
Wengi wanaosema hivyo. ...wanakuwaga na Ujasiri ndani wa ajabu. ...yakikukuta utajishangaa.
mdogo wangu denda lishakuwa NOMA,mouth,throat cancer etc tena kuna utafiti mwingine ulifanyika bongo under Muhimbili and John Hopkins university
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom