Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,804
Asante, acha niwatafute wahusika niwazamishe.Kwamba mie ndiye fundi wa hizi vocabulary ama.
Oral sex ni kuzama chumvini na shangazi yake bila kumsahau mjomba wake mdogo.
Asante, acha niwatafute wahusika niwazamishe.Kwamba mie ndiye fundi wa hizi vocabulary ama.
Oral sex ni kuzama chumvini na shangazi yake bila kumsahau mjomba wake mdogo.
Fact ubarikiwe mpendwaKwani huyu walishindwa nini kupima? Hadi wafahamiane na wabanduane walishindwa nini kupimana?
Kama sio mpimaji basi ajiandae tu hata hao wa kazini watamkamata tu.
Hapa tatizo sio wa mtandaoni bali ni huyo kaka yako, seems hana mazoea ya kupima kabla ya kuingia kwenye mahusiano mapya. Hivyo hilo liwe funzo. Lakini pia akumbuke anayetumia dawa vipimo vitaonyesha -ve
WahusikaAsante, acha niwatafute wahusika niwazamishe.
Wifi wa uzi... naona unajitoa kwenye reli.Kwamba umemuambukiza ila bado yumo tu?
Wifi wa uzi... naona unajitoa kwenye reli.
cheza na ngozi lip na machoDalili zipi hizo, hebu mtupe darasa.
Una uzoefu au utakimbia kama kaka yake na dada yako SkyWahusika
Andika basi japo mhusika.... au ushapata ile tiba ya jana?
Naomba hili darasa tafadhalicheza na ngozi lip na macho
Hahaha...Sky hakukimbia bwana yeye mleta ujumbe tu aliyekimbia kaka mtu. HahahahUna uzoefu au utakimbia kama kaka yake na dada yako Sky
Haha.I wifi ulisha RIP smebaki kuwa shost you wa JF
Vinakuwaje? Toa darasa mpendwa.cheza na ngozi lip na macho
Kiswahili kigumu eehh. ..rudi kasome ueleweHahaha...Sky hakukimbia bwana yeye mleta ujumbe tu aliyekimbia kaka mtu. Hahahah
Sasa sky akimbie kwanini?
Jaribu kwa kimasai basi....kiswahili lugha ya pili.Kiswahili kigumu eehh. ..rudi kasome uelewe
Aisee...Huyo dada ni member mwenzetu na sasa anausoma huu ujumbe ila siwezi kumwanika.
mdogo wangu denda lishakuwa NOMA,mouth,throat cancer etc tena kuna utafiti mwingine ulifanyika bongo under Muhimbili and John Hopkins universityWengi wanaosema hivyo. ...wanakuwaga na Ujasiri ndani wa ajabu. ...yakikukuta utajishangaa.
Umesahau Kimasai ni kwa Bed tu....?Jaribu kwa kimasai basi....kiswahili lugha ya pili.