Hakika watu mna data balaa..safi sanaMtoa post ukuelewa situation ipo ivi uyo dogo anaitwa Peruzzi ndio alikuwa anamtungia ngoma davido ngoma kama fia dogo ndio katunga.uyu demu was davido(chioma) alikuwa n demu wa Peruzzi kitambo baada ya Peruzzi kuwa karibu na davido chioma akaona dili.kwaiyo chioma n Peruzzi wakamdanganya davido kuwa ni ndugu yni ni cousin wake davido akamua kukaa n kuwa mkewe bila kutambua kama ni x wa msanii wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Dooh!!sadhata babu yangu alichapiwa na rafikie yake mwarabu na aligundua baada yakuzaliwa mtoto mwarabu bt alikausha, haya mambo yapo tu enzi na enzi na yataendelea kuwepo
Tuttyfruity na wenzko mnaojua sana mapenzi ya watu unajisikiaje sa iv kuhusu Davido na chiomaNaona Davido ana deserve yaliomkuta. Kazalisha wanawake wengi lakini he used to act kama chioma ana pussy tamu kama biriani. Hizo show off mitandaoni alizokua anafanya as if hao wanawake wengine ni takataka. Akamuimbia chioma nyimbo ya "assurance" . Kama jamaa kachapiwa it's all well and good
Sent using Jamii Forums mobile app
dojonase,
Peruzzi yeye ni PIMP( muuza makahaba) na Chioma alikia miongoni mwa makahaba wanaouzwa na Peruzzi ila jamaa alikua anamtafuna huyo Chioma..ikatokea nafasi akalengeshwa Davido ila Chioma akadanganya kwamba Pereuzzi ni Cousin wake..inabidi uwe makini sana na hawa macousin cousin
mkuu hebu tuelezee kidogo kuhusu winnie mandelaherman joshua, Mambo ya kawaida tu, wanawake watabaki kuwa wanawake, kugonga mke wa mtu au kugongewa, ni jambo la kawaida tu, uswahili tunagonga na tunagongewa, ushuani vilevile, makanisani, mchungaji anagonga wake wa waumini wake,
Serikalini, hata waziri au raisi anagongewa, kumbuka, Winnie Mandela, je Monica Lewinsky na Clinton,
Tatizo vijana wa siku hizi mmekuwa wanaume jinsia tu, mkeo akishikwa msambwanda, unajinyonga,
Akigongwa, piga chini, tafuta mwingine ugonge,
King David, aligonga mke wa kamanda wake, wakati kamanda akiwa vitani, aliponogewa, akamuua na kamanda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ujue hii avator unayoitumia hua nahisigi wewe ni Lara1 sema nikisomaga jina ndo nalikutaga jina lako..Kumbe chioma sio mpenzi wake toka utoto
Yule mrembo akipaka makeup asipopaka mwee ila ndio bahati pussy imemvutia davido
Sent using Jamii Forums mobile app
Komaza roho,hiyo ndio hali halisi.Hakika kumgongea mwanaume mwenzio mke au mpenzi anayemuamini na kumpenda ni kumpa maumivu makali ya moyo maishani.Tusifanye hivi kwa kuwa tunawaumiza wenzetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
indeedherman joshua, Mambo ya kawaida tu, wanawake watabaki kuwa wanawake, kugonga mke wa mtu au kugongewa, ni jambo la kawaida tu, uswahili tunagonga na tunagongewa, ushuani vilevile, makanisani, mchungaji anagonga wake wa waumini wake,
Serikalini, hata waziri au raisi anagongewa, kumbuka, Winnie Mandela, je Monica Lewinsky na Clinton,
Tatizo vijana wa siku hizi mmekuwa wanaume jinsia tu, mkeo akishikwa msambwanda, unajinyonga,
Akigongwa, piga chini, tafuta mwingine ugonge,
King David, aligonga mke wa kamanda wake, wakati kamanda akiwa vitani, aliponogewa, akamuua na kamanda!
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha... woyoooooooKwanza Nani aliagiza ukioa au kuolewa ndio usisex na wengine. Hapo Tunahitaji danganya na kujipa stress za buree. Kugonga na kugongewa hata kwenye agano la kale ipo. Tukubali tu mifumo. Unaoa au kuolewa na mtu ana meno 32 bikra hana anajua styles zote. Nyoooooo
ma PIMP ..hawajawahi kumuacha mtu salamadojonase,
Peruzzi yeye ni PIMP( muuza makahaba) na Chioma alikia miongoni mwa makahaba wanaouzwa na Peruzzi ila jamaa alikua anamtafuna huyo Chioma..ikatokea nafasi akalengeshwa Davido ila Chioma akadanganya kwamba Pereuzzi ni Cousin wake..inabidi uwe makini sana na hawa macousin cousin
Wait! Mpaka kifesi?!Bila kusahau na peter wa psquarer na mwarabu na kifesi aiseee
Aisee afadhaliNaona Davido ana deserve yaliomkuta. Kazalisha wanawake wengi lakini he used to act kama chioma ana pussy tamu kama biriani. Hizo show off mitandaoni alizokua anafanya as if hao wanawake wengine ni takataka. Akamuimbia chioma nyimbo ya "assurance" . Kama jamaa kachapiwa it's all well and good
Sent using Jamii Forums mobile app