sawaka
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 201
- 31
kwani kura maana yake nini?
"Mwanasheria Mkuu ndiye atakayekuwa Mshauri Mkuu wa kisheria kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, na atatekeleza shughuli nyengine zozote za kisheria zitazopelekwa kwake au atakazoagizwa na Rais au kwa mujibu wa Katiba hii au Sheria nyenginezo zozote.".....katiba ya zanzibar sehemu ya madaraka ya serikali kifungu cha 56..inaweka wazi kuwa anatakiwa kuheshimu katiba na kufuata directions za rais kama mamlaka iliyomteua la sivyo angejiuzulu