Mbona mnayaleta hapa leo?? Idi kishakufa, mtamfungulia mashitaka mfu? They say; The dead stay dumb!!!! Upo?? Sasa kwenda fukua majumba ya Iddi leo itatusaidia nini?? Nnani ataweza hata kutupa majina yao hao?? Tusifukue makaburiiii
Hata hiyo video ni uzushistory nyingi za iddy amin dada zilikuwa ni uzushi wa kumpaka matope
Sent using Jamii Forums mobile app