Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Mheshimiwa mbunge Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi amefanya ziara ktk kata ya kisiriri na Kidaru.
Amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuahidi mingine mingi inakuja.
Mfano umeme, maji, barabara za uhakika na mingine mingi ya kijamii. Kesho ataendelea na ziara ktk maeneo mengine.
Baadhi ya wafuasi wa chadema wamerudisha kadi na kujiunga CCM.
Pia mbunge amewaambia wanairamba magharibi wajiandae kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na waipe CCM ushindi mnono.
Amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuahidi mingine mingi inakuja.
Mfano umeme, maji, barabara za uhakika na mingine mingi ya kijamii. Kesho ataendelea na ziara ktk maeneo mengine.
Baadhi ya wafuasi wa chadema wamerudisha kadi na kujiunga CCM.
Pia mbunge amewaambia wanairamba magharibi wajiandae kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na waipe CCM ushindi mnono.