smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
alikuwa na agenda ya siri ndani yake ajenge Badolitte chato!! mbona matanzania mko majuha ivo???Nchi ilipokuwa haina ndege tuliponda
Wamenunua tunaponda
Ova
Midege haiendi popote inauza mkaa tena mibovu kapigwa changa la macho mafundi wako wapi???
Ndege alinunua mzanaki bana weee!! Tena na yake binafsi kapewa bureeeee!!! Wanafunzi rhuksa kutumia na wenye shida popote ilipotua panda tena bureeeeee!! Ohooo!! Nyerere weee!! Lala salamaaaa.