Wana CCM akili hamna. Kwa hiyo kwenu ni ufahari kumzungusha marehemu kwa zaidi ya wiki mitaani? Tafadhali mhifadhini kuheshimu utu wa mtu hata kama siyo mzima. Mtu ana hadhi yake, siyo kuzungusha mwili wake ardhini na angani karibu wiki mbili nzima. Mnawaumiza ndugu na watoto wake na yule mama yake aliyepo kitandani anaumwa.Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Mizunguko yote hiyo ya nini? Zikeni Janeth apumue jamani. Hamna hata huruma nyie watu. Mnatafuta umaarufu wa chama chenu au wa nini?