Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Unanisikitisha sana. Hoja ni tofauti sana wewe umebakia ushabiki tuu. Kwa mawazo yako, Huyo Meya aliogopa kuja pale, ni kweli anapenda ujambazi? Tutajifunza nini kwa kauli zako na washabiki wenzako. Tuelimishe basi na kama huna hoja KAA KIMYA- sijui JF imekuwaje mfu namna hii, inavumilia watu kama wewe!mtaendelea kujifunza mpaka mkome, awamu hii hakuna kubembelezana.