Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,623
Mbunge wangu Mtukufu Mwigulu Nchemba Kasemaje!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari kapuyanga....Lazima itatoka kauli tata kama hatasoma hotuba aliyoandikiwa.
Mkuu,umemshangaa nani?Me mwenyewe nimemshangaa kwel!
Sidhani Kama Magufuli analijua vizuri jeshi la polisi. Hao vijana wapolisi anawasema ndio vibaka. Kunapo kuwa na maandamano aidha ya wanafunzi au wanasiasa, Vijana hao ndio wanaowanao waibia simu waandamani. Leo hii anasema wanafanyakazi nzuri??Namsubiri kumsikia Rais Magufuli kama atafafanua kuhusu zuio la shughuli za kisiasa kwa miaka mitano na mahafali
mkuu,hapo anamanisha nini?Anasema anatamaani kuanza kampeni lakini uchaguzi umeisha!
Hivi anamaanisha hii kitu kweli?
Anyway 2020 sio mbali!
Maneno ya maana yanatolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani. Anasema hakuna uhuru usio na mpaka "Hata ukipigana na mke wako nyumbani kwako polisi wanakushughulikia".
Kaa chonjo.[/QUOTE
Uhuru usio na mipaka ni neno pana.unaweza kudai haki ya kusikilizwa madai yako ya msingi ukaambiwa umevuka mpaka. Hii siyo sahihu
Amefuata mpunga. Njaa Kali. Na alirudisha chenji 12 bln.Huyu Lubuva nae amefata nini? Nchi ya maajabu hii
Maana yake Majambazi wauwawe!!Tayari kapuyanga....
"....Polisi, wawanyang'anye silaha majambazi haraka haraka, na nikisema haraka haraka mnanielewa,... na huyu askari polisi anayemnyang'anya jambazi silaha haraka haraka, asipelekwe mahakamani, apandishwe Cheo..."
Hahaha...Mkuu wetu muda mwingine simuelewi.Anasema anatamaani kuanza kampeni lakini uchaguzi umeisha!
Hivi anamaanisha hii kitu kweli?
Anyway 2020 sio mbali!
Hivi wamejenga magereza au ni haya haya ambayo tayari yameelemewa maana hapa watakamata robo tatu ya watanzania.Wana JF
Waziri wa Mambo Ndani Mwigulu Mchemba amewahakikishia watanzania ukikamatwa umenunua bidhaa au kuuza bidhaa bila kudai risiti ni jela moja kwa moja hakuna upelelezi.
View attachment 359992
My take.
Hapa itakuwa kukomoana sasa unaweza kukuta umeenda kununua bidhaa dukani mashine ikawa haijafanyi kazi hizo mashine huwa zinasumbua kwenye network nikosa la nani? Kama hujapewa nafasi ya kujitetea utakuwa umehukumiwa bila kuwa na kosa ?
ahahaha,kwaio ni kama amewapa kiki!ni kama ile ya polisi kuruhusiwa kuya chomoa matairi ya madereva wanao yagonga magari ya dart!Tayari kapuyanga....
"....Polisi, wawanyang'anye silaha majambazi haraka haraka, na nikisema haraka haraka mnanielewa,... na huyu askari polisi anayemnyang'anya jambazi silaha haraka haraka, asipelekwe mahakamani, apandishwe Cheo..."
Mh Rais ameshitushwa sana na kutokuwepo kwake mstahiki mayor ikamlazimu kuulizia kama yupo diwan wa eneo husika akajitokeza kijana mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, alidai kuwa ni diwan wa chadema japo alijitambulisha kwa hofu kidogo.