mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Kabisa kabisa.
Nadhani hiyo itakuwa topic nyingine.
Nadhani hiyo itakuwa topic nyingine.
Congo DRC ni tajiri sana lakini siyo ya kwanza kama ulivyoipamba hapo mwanzo. Kiingereza sahihi ni "One among the wealthiest" na siyo "the wealthiest" : Your assertions are full of hyperboles.....One of the wealthiest! Ni ya tisa! Hutaki?
Countries With the Most Natural Resources
The 10 countries richest in natural resources.www.worldatlas.com
Mimi nimeweka source ilivyo bila kubadili chochote, baada ya kutaka kujuwa specifically, nimekuwekea source ya “world atlas”, shida iko wapi? Congo iko top ten ya nchi matajiri duniani resource wise halafu una downplay?Congo DRC ni tajiri sana lakini siyo ya kwanza kama ulivyoipamba hapo mwanzo. Kiingereza sahihi ni "One among the wealthiest" na siyo "the wealthiest" : Your assertions are full of hyperboles.....
Funguwa unitag, I ain’t scared 😱😀Kabisa kabisa.
Hivi kwanini wkt wa mobutu sijawahi kumuona mobutu akitia mguu hapa kwetu au marais kwenda congo, je tulikuwa na bifu nao au ilikuwaje mnaofatilia historia?
Mimi ni la 7b uchwara bob,ila napenda tu kusoma mawazo ya wasomi wetu wa pale 'jalalani' humu JF.Funguwa unitag, I ain’t scared
Stay focused Achana na majalalani!Mimi ni la 7b uchwara bob,ila napenda tu kusoma mawazo ya wasomi wetu wa pale 'jalalani' humu JF.
Sioni hata cha ku-focus hapa.Stay focused Achana na majalalani!
Ninachofurahi ni kwamba leo umejifunza kitu kipya, kesho huwezi kwenda mbele ya kadamnasi ukaropoka tena kwamba Congo DRC ndiyo nchi inayoongoza kwa utajiri duniani halafu ukaweka mtandao wako wa jalalani kama ushahidi. Karibu sana kiongozi na tupo pamoja.....Mimi nimeweka source ilivyo bila kubadili chochote, baada ya kutaka kujuwa specifically, nimekuwekea source ya “world atlas”, shida iko wapi? Congo iko top ten ya nchi matajiri duniani resource wise halafu una downplay?
Eti kuipamba namba moja. Wanyarwanda bhana!
Mushi, Congo ni tajiri sana na nafurahi kwamba umeipa heshima yake ya utisa kama inavyostahili. Tena katika hili hakuna hujuma ya kutaka kuishusha chini Congo DRC, kwasababu nchi kama Urusi ambayo ina eleven time zones na iko kwenye mabara mawili ni lazima iwe na rasilimali nyingi tu. AU Marekani ambayo imezungukwa na bahari kuu tatu ni lazima iwe na utajiri mwingi, kwenye ukweli hakuna hujuma.Malcom Lumumba ,Read between the lines...”wildly considered the richest”, halafu hapo ni pamoja na hila za mabeberu na vibaraka wao kujaribu ku downplay utajiri wa Africa kwasababu zao ambazo si nzuri anyways. Lakini bado iko namba tisa
Yule ni pro kagame,yupo tayari apotoshe ukweli ili mradi tu ampaishe kagameNashukuru kwa kuweka sawa hapa. Maana ndugu mng'ato ’ alikwishafanya upotoshaji hapa! Nimemuuliza lakini hajaweka uthibitisho kuwa Rwanda nao wanayo.
Labda yeye ni mnyarwanda!
Unapenda porojo?Sioni hata cha ku-focus hapa.
Jinga wewe. Umfundishe nani wewe idiot?Ninachofurahi ni kwamba leo umejifunza kitu kipya, kesho huwezi kwenda mbele ya kadamnasi ukaropoka tena kwamba Congo DRC ndiyo nchi inayoongoza kwa utajiri duniani halafu ukaweka mtandao wako wa jalalani kama ushahidi. Karibu sana kiongozi na tupo pamoja.....
Naenda nao pound for pound.Yule ni pro kagame,yupo tayari apotoshe ukweli ili mradi tu ampaishe kagame
Wasiwasi wangu katika DRC kujoin EAC ni Rwanda na Uganda
But Naamin tutacheza karata vyema na DRC wakishajoin Naamin vurugu DRC zitaisha hasa kutoka Rwanda na Uganda
Naamin hata mabeberu hayataki DRC wajoin EAC
Siyo vizuri kumtukana mwalimu wako, unaweza kupata laana. Lakini binafsi nimepata sana faraja ulivyoelewa haraka sana na kuamua kutumia vyanzo mbalimbali, pamoja na kujihangaisha mtandaoni na kugundua kumbe Congo DRC ni ya tisa na siyo ya kwanza kwa wingi wa rasilimali.Jinga wewe. Umfundishe nani wewe idiot?
#BureKabisa
Niwekee bandiko nililosema ni ya kwanza. Wewe umfundishe nani kitu gani mkuu? Ni kitu gani umemfundisha nani hapa? Don’t sound like an idiot.Siyo vizuri kumtukana mwalimu wako, unaweza kupata laana. Lakini binafsi nimepata sana faraja ulivyoelewa haraka sana na kuamua kutumia vyanzo mbalimbali, pamoja na kujihangaisha mtandaoni na kugundua kumbe Congo DRC ni ya tisa na siyo ya kwanza kwa wingi wa rasilimali.
Haahahaha,Niwekee bandiko nililosema ni ya kwanza. Wewe umfundishe nani kitu gani mkuu? Ni kitu gani umemfundisha nani hapa? Don’t sound like an idiot.