Yaliyojiri wakati wa mkutano wa Rais Magufuli na Rais Felix Tshisekedi

Mkuu masuala ya mipango ndio yanatuchelewashaga sometimes.

Unakumbuka baada ya Tshisekedi kwenda huko Kigali (26 march,2019) then (17 April,2019) Rwanda air ikaanza kwenda huko Kinshasa mara 3 kwa wiki.

Inatakiwa within a Month ATCL ianze safari za kwenda huko Congo,chap chap.
Nakubaliana na wewe ATCL ilitakiwa ianze mapema ,maana hadi routes ziko tayari ,but sasa hivi litafanyiwa kazi haraka

Mwezi uliopita mjumbe wa ATCL alikua Lubumbashi
 
Tanzania & RDC
IMG-20190614-WA0040.jpeg
 
Tukiungana na wacongo kiukweli kabisa na kushirikiana, mataifa yetu mawili yatapiga hatua kubwa na wananchi wake kunufaika sana! Kwanza kuna wanaodhani tumechelewa kidogo...

Ni wakati wa kuichukuwa Congo sasa, halafu mtaona jinsi mabeberu watajileta. Maana mcongo anatusikiliza. Lakini pia beberu ndo mnufaika mkuu kule Congo, hataki kuwepo na amani!

Tena tuungane nao tuwe kitu kimoja ikiwezekana, wengine watafuatia. Pale Congo, makampuni ya mabeberu ndiyo yanayochota rasilimali kama shamba la bibi. Yenyewe yana vikosi vya majangiri huko porini wanavyovifadhili! Hadi Kagame naye! Na ndiyo maana mabeberu na Rwanda, Rwanda na wao!
Tukiungana kagame atakua na mtihani wa karne maana ana vikundi na mfadhiri wa mauaji , ujangili na ubakaji unaondelea mashariki ya DRC hadi leo
 
The style of argument (which is all about winning, regardless of what is right or true) is called sophistry!

I can be coccydynia. They way I see it, I’m dealing with a fuckwit.
Ku-deal na fag from jalalani ni shida sana.
 
Kwa Africa ndio richest na ukiangalia position yake central Africa ni fursa nyingine ya utajiri tofauti na Rassia na usa ambazo ni mabeki wakati drc ni centerhalf
Congo DRC siyo nchi ya kwanza kwa utajiri wa rasilimali duniani, hiyo ndiyo hoja ninayozungumza mimi. Hayo mengine hayanihusu kabisa mkuu
 
Bifu ilikuwa kubwa mno, maana tulimhifadhi Laurent Kabira ambaye badae alimpindua hiyo Mobutu. Kwa ufupi ndo hiyo ilikuwa sababu!
mobutu hakufahamu kama Tanzania inamfadhili kabila , maana mwanasheria wake alimpa ushauri kuhusu uvamizi uliotokea zaire 1996 wakiwa ufaransa, alimtaadhalisha mobutu kuhusu kabila lakini mobutu alijibu kabila hana lolote ni jangili mmoja anafanya biashara zake maeneo ya goma na kwingineko
NB
mobutu alimfahamu kabila miaka mingi kabla ya hapo
 
Back
Top Bottom