Sema Tanzania
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 251
- 465
Ndugu WanaJF,
Mnakumbuka tuliwaalika kujumuika nasi kwenye kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika? >> Je, unaishi Dar? Una mtoto wa umri kati ya miaka 3 na 15? Mlete kwa Jakaya M. Kikwete
Hatimaye ile siku imewadia na tuko viwanjani muda huu tayari kuanza sherehe hizi zinazofanyika mara moja tu kwa mwaka.
Kwa niaba ya wenzetu wa JamiiForums ambao tuko nao hapa kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, tunakukaribisha uungane nasi kwenye uzi huu ili kujua kinachojiri moja kwa moja kutoka katiika viwanja vya Jakaya M. Kikwete Youth Park jijini Dar es salaam.
Pia unaweza kufuatilia kwenye kurasa zetu zote za mitandao ya kijamii kwa matukio zaidi na picha;
Twitter | JamiiForums na SemaTanzania (hashtag [HASHTAG]#SikuYaMtoto[/HASHTAG])
Instagram: | SemaTanzania na @jamiiforums_events
Facebook: | Facebook.com/SemaTanzania
Usibanduke!
---------
Updates..
Shughuli imeanza sasa..
Hapa ni hatua za awali kabisa mapema leo. Wadau wetu wakiandaa bango la kupigia picha kunako zulia jekundu..
Na zoezi la picha limeanza kwa kasi..
-------
Tunawaletea zaidi matukio katika picha kwa kadri yanavyotokea..
Mvua ya ghafla imejitokeza na kufanya washiriki wawahishe zoezi la kwenda kupata chakula kabla ya kurudi kuendelea kufurahia siku hii ya kipekee hapa...
Baada ya zoezi la kupata chakula, kinachoendelea muda huu ni zoezi la upigaji picha, kuchora nyuso za watoto (face painting) pamoja na michezo mbalimbali..
Mnakumbuka tuliwaalika kujumuika nasi kwenye kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika? >> Je, unaishi Dar? Una mtoto wa umri kati ya miaka 3 na 15? Mlete kwa Jakaya M. Kikwete
Hatimaye ile siku imewadia na tuko viwanjani muda huu tayari kuanza sherehe hizi zinazofanyika mara moja tu kwa mwaka.
Kwa niaba ya wenzetu wa JamiiForums ambao tuko nao hapa kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, tunakukaribisha uungane nasi kwenye uzi huu ili kujua kinachojiri moja kwa moja kutoka katiika viwanja vya Jakaya M. Kikwete Youth Park jijini Dar es salaam.
Pia unaweza kufuatilia kwenye kurasa zetu zote za mitandao ya kijamii kwa matukio zaidi na picha;
Twitter | JamiiForums na SemaTanzania (hashtag [HASHTAG]#SikuYaMtoto[/HASHTAG])
Instagram: | SemaTanzania na @jamiiforums_events
Facebook: | Facebook.com/SemaTanzania
Usibanduke!
---------
Updates..
Shughuli imeanza sasa..
Hapa ni hatua za awali kabisa mapema leo. Wadau wetu wakiandaa bango la kupigia picha kunako zulia jekundu..
Na zoezi la picha limeanza kwa kasi..
-------
Tunawaletea zaidi matukio katika picha kwa kadri yanavyotokea..
Mvua ya ghafla imejitokeza na kufanya washiriki wawahishe zoezi la kwenda kupata chakula kabla ya kurudi kuendelea kufurahia siku hii ya kipekee hapa...
Baada ya zoezi la kupata chakula, kinachoendelea muda huu ni zoezi la upigaji picha, kuchora nyuso za watoto (face painting) pamoja na michezo mbalimbali..