Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Hicho Ni Chombo Cha Umma Hata Salary Huwa Hawapewi Kwa Kuombewa. Mkulu Kakwambia Kila Kitu Kipo Sawa,Ukweli Hao Wanaoshiriki Zoezi Wana Posho Zao Siyo Kuwaombea Chochote Kwa Matajiri
Posho zipi zilizositishwa?
 
Unakuja kuwaombea hela kwa matajiri wakati bado watu wanaugulia maumivu ya hela za wahanga wa kagera? Nadhani katika taasisi zinazopata upendeleo hapa nchini ni pamoja na jeshi. Nenda kwenye maduka ya jeshi uone bei ya bidhaa. Hilo halitoshi bado? Mikopo kwao iko njenje. Anyway sio wazo baya kwa kile walichokifanya.
 
Nazungumzia kikosi cha komando ambacho kimeonyesha sarakasi na karate uchwara
Ndg waamini makomando wetu, usifikiri kwamba ni legevu wale jamaa.Km U.S.A na Italy zinawakubali makomandoo wetu Wa JWTZ na kifanya nao mazoezi ya pamoja, Kwa nini wewe uwadharau ? Wale jamaa in hatari sana , sana !
 
Back
Top Bottom