Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Katika watu ambao huwa napata amani nikiwa waona ni firstlady wetu kipenzi mama Janeth . Ila Leo sijamuona uwanjani kitu ambacho kimenipa huzuni ya moyo.
Unapataje amani sasa kwa kumuona mke wa mtu kwny TV...?? Ni kweli kabisa unasema umepata huzuni ya moyo..? Serious...??
 
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.

Kusema ya wengine ni rahisi. Yako Nani anayajua. It is easy kuweka private life ya Magufuli for public opinion and discussion. What if na sisi tungepata access ya maisha yako private?

Holier than thou!
 
Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Hata mimi japo mkulu kwa mengine simkubari ila kimambi aliongopa.
Mama hakuwa na majeraha na ingekuwa kweli asingelezwa kwenye wodi public vile angepelekwa wodi private tena kwa usiri mkubwa ili yasivuje..
 
Kuwa na amani nyumbani kwa kiongozi ni muhimu sana kwani inamuwezesha kutokuwa na msongo wa mawazo na hivyo kutoa maamuzi kwa kupima sana na sio kwa kukurupuka!!
Kwa kauli yake juu ya ushauri alioupata kutoka kwa mzee Ruksa kuhusu siri ya maisha marefu ,inaonekana JPM anapima upepo!!
 
Mi nawashangaa hawa wanaobweka ooh tuache ndoa za watu, mara tumwachie private life yake, mara tumwachie ya familia yake, Je mtu aliyeshindwa kuimanage familia ataweza kumanage taifa?
 
Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Kama wewe sio daktari wake uliemtibu au daktari hajazungumza hilo au hujsona file lake la matibabu basi huwezi kuthibitisha kuwa hakuwa na jeraha
 
Huyu Mama mwenye sura ya upole anapata matatizo makubwa kuliko watanzania weng wanavyofikiri. MUNGU AMSAIDIE
 
Hii issue ya first lady inavyoongelewa kila pembe inanitia simanzi sana .....hata kama sio kipondo lisemwalo lipo na kama halipo......!!!!!!!Haiwezekaniiii watu wakamuongelea tuuuu daahhh ....[HASHTAG]#BRING[/HASHTAG] BACK OUR FIRST LADY.....PLEASE.Nakumbuka siku mkuu anaapishwa uwanjani yule mama alikuwa na afya nzuriii na alikuwa anatabasamu na kufuta machozi.....
 
Humu kila mtu na wake
Wengine hawakumuona mkapa
Wengine jakaya na yote kweli
Tusubiri tena ajitokeze ambae hajamuona wake
 
Mi nawashangaa hawa wanaobweka ooh tuache ndoa za watu, mara tumwachie private life yake, mara tumwachie ya familia yake, Je mtu aliyeshindwa kuimanage familia ataweza kumanage taifa?
Hiyo ndoa ishakuwa ndoa ya taifa lazima tuiongelee sana tu na inatuhusu wote!!!!!!
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom