Ulimkagua ukakuta hana majeraha? Habari inawezakuwa sio kweli wewe unachokisema unaisi tu mana majeraha yanaweza kuwa mgongoni miguuni kifuani tumboni sasa ebu prove hana majeraha hizi sehemuAcheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Mie nilikosa amani kwa kutomuona LowassaHumu kila mtu na wake
Wengine hawakumuona mkapa
Wengine jakaya na yote kweli
Tusubiri tena ajitokeze ambae hajamuona wake
AhhahahahahahajahahahMi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
Kwa Hiyo unataka kusema JPM ni boxer au usalama wa taifa kiasi cha kufundishwa unacho sema? Wakurya na tabia Yao wao hawajui kuhusu pressure points au kwa kifupi hawafuati Hiyo ya kupiga pressure point na ukiwa na hasira hakuna cha pressure points ni kupiga vibao ambavyo vitakuwa usoni au shavuniBichwa maji mkubwa wewe
Hivi hujui weak areas ambapo mtu akikupiga hata kukuua anaweza kukuua
he! leo hakuna kubana matumizi..?[/QUOTES
Ameshatoa sababu zakutofanyka mwaka jana na y zimefanyika mwaka huu.jtaid kua serious tu.usje jikuta ukoiv hta ktk mambo yko ya msing
Bahar atahama nayoMagogoni atahama nayo?
ukistaajabu ya musa utaona ya firaunihe! leo hakuna kubana matumizi..?
Kazi nzuri walionyesha jana kwenye sherehe za Uhuru,,hakuna kupewa chakula/maji ,wageombwa ata matajiri kama mengi au Azam wachangie japo fedha ya chakula.
Kwata kimya kimya walistahili japo chakula na maji kwa Kazi nzuri waliofanya jana.
Nb:Mod tafadhali msiunganishe Uzi huu na Uzi mwingine.
Maamuzi yangefanywa pale kiwanjani baada ya shughuli walioonyesha.Hamna aliyejua kwamba kazi ingekuwa nzuri kiasi hicho, siku ingine!!!
Tena posho ndefuWale lazima wapewe posho,uwezi kuwapigisha kwata ukawaacha.
Huwa kuna kawaida kule JWTZ pindi Askari wakifanya jambo zuri hupewa vyeo na Zawadi pia vyeti na mkuu wa majeshi hutoa huwaita na kuwapongeza live.Wale lazima wapewe posho,uwezi kuwapigisha kwata ukawaacha.