Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,772
- 3,160
Alikua anawaandalia wageni chakula
wanakamata kitu gani?Ivi bado wanakamata
Apewe tuzo kwa kweli!Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Kweli. UnauhakikaaMi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
kiboko mama mr clear mzee alipoanza ugomvi tu akachukua sturi na kumtwanga kwenye miguu baadae ikasemwa kuwa anasumbuliwa na miguu kwa ajili ya kula nyama za mbuzi
Hawajaishi miaka yote 30 nyumba moja,asingeweza fuatilia vizuri kuanzia kampeni ilivoanza ndio wameanza kuishi nyumbamoja.Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.