Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,067
Mbowe na lipumba wamealikwa pia.wameipongeza katiba hii nimekaa upande wa kulia mwa jukwaa nawaona
Nasikia Slaa amekwenda kujipendekeza kwa wazanzibari!
Mbowe na lipumba wamealikwa pia.wameipongeza katiba hii nimekaa upande wa kulia mwa jukwaa nawaona
ccm wana miaka kama 100 bado
Hao police wenye wamechomeshwa jua tangu asubuhiKweli mijitu mingine hamnazo kabisa,yani yameingia uwanjani saa 2 asubuhi halaf mgeni rasmi anaingia saa kumi,ukiuliza kisa...eti makabidhiano ya rasimu ya katiba!kesho yanaanza kulalamika oooh maisha magumu,serikali haitujali wananchiii...pambaf kabisaaa..
jambo linaloshangaza kwani Dodoma hakuna askofu Wa katoliki? huyu padri ni Wa parokia gani hapa Dodoma?
jambo linaloshangaza kwani Dodoma hakuna askofu Wa katoliki? huyu padri ni Wa parokia gani hapa Dodoma?
kumekuwa na nyaraka mbalimbali ambazo zimetolewa na makundi tofauti tofauti hasa viongozi wa dini yaani maaskofu kuupinga mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya katika hatua ya bunge maalum. Jambo hili lilipelekea mwenyekiti wa lililokuwa bunge hilo mh. Samwel sitta kutoa maneno yasiyofaa kwa viongozi wa dini nchini.
Jambo linalonshangaza mimi ni kuona viongozi wa dini haohao wamejazana dodoma bila kujali matusi na fedhea zilizotolewa na sitta. Hii inaonesha namna ambavyo watanxania wengi tulivyowaoga na wanafiki, kwani viongizi hawa hawa wamekuwa wakiipinga katika ibada zao. Sasa nashindwa kuamini kwamba kuna askofu kutoka cct na padre wa kanisa katoliki pia yupo. Ifike wakati watanzania wenzangu tuwe wakweli na wenye misimamo bila kujali umesimama mbele ya nani.
Nawasilisha.
Sio kawaida kwenye hafla ya kitaifa namna hio asalishe Padre. Huyo Padre anaweza kuwa ni mtu wa kawaida tu au kweli ni Padre lakini kuwepo kwake ni kwa nafsi yake na walipomjua basi wakamtafdhalisha asalishe. Huwezi ukakataa kusalisha kama wewe ni kasisi au sheikh. Tusimhukumu kwanza.
Askofu wa Jimbo Kuu la Dodoma ni Mh Thadei Ruwaichi, yule gwiji msomi aliyebobea katika faslafa sio tu ya kanisa bali ya elimu dunia. Sio rahisi akawa katika hafla kama ile!