Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tooooba yarabiEti wazanzibar nao wanamwomba akawatumbulie majipu.Naona wamemchoka shein wanamwita jipu
Tooooba yarabiEti wazanzibar nao wanamwomba akawatumbulie majipu.Naona wamemchoka shein wanamwita jipu
Meli mpya mapinduzi mpyailienda pemba mara tatu kubeba wanafunzi...Vipi hawajawasomba wanafunzi na walimu kutoka Tanganyika wakajaze uwanja?
Ni kweli kabisa naamini anaijutia nafsi yake kwa kutaka kuendelea kuwa madarakani huku akielewa fika kuwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka jana, alibwagwa na Maalim Seif.Inabidi ucheki ili ushuhudie mwenyewe...............Shein anazungushwa kwenye ki gari uwanjani amenunaaaaaaa
kwenye kitiHIVI LIZABONI ANAKAA WAPI ?
Kwa we ujuwi Zanzibar ni nchi yenye rais,wimbo wa taifa bendere na ulinzi wake?Mbona yupo toka enzi huyo.Ni watu wanajitoaga ufahamuKumbe Zanzibar wana mkuu wa majeshi wao!!? Nimesikia wakati nikifuatilia sherehe za Mapinduzi kupitia Azam tv. Wadau hili ni kweli au Nimepotoshwa?
Kama hili ni kweli basi tumekwisha.
Kumbe Zanzibar wana mkuu wa majeshi wao!!? Nimesikia wakati nikifuatilia sherehe za Mapinduzi kupitia Azam tv. Wadau hili ni kweli au Nimepotoshwa?
Kama hili ni kweli basi tumekwisha.
Kwa hiyo......... Mwamunyange ni mkuu wa majeshi wa Tanganyika? Nahisi sielewi.Wako sahihi.Kuna mkuu wa polisi wa Zanzibar,Mkuu wa uhamiaji wa Zanzibar,Mkuu wa magereza wa Zanzibar,mkuu wa majeshi wa Zanzibar na Raisi wa Zanzibar unachoshangaa nini? Hujui Zanzibar ni nchi?
Acha kupotosha mkuu una ushahidiWako sahihi.Kuna mkuu wa polisi wa Zanzibar,Mkuu wa uhamiaji wa Zanzibar,Mkuu wa magereza wa Zanzibar,mkuu wa majeshi wa Zanzibar na Raisi wa Zanzibar unachoshangaa nini? Hujui Zanzibar ni nchi?
Mwamunyange ni mkuu wa majeshi ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.Zingatia neno muungano.Kwa hiyo......... Mwamunyange ni mkuu wa majeshi wa Tanganyika? Nahisi sielewi.
Bwana we, hebu twende sawa, kwa hiyo kulitakiwa kuwe na mkuu wa majeshi wa Tanganyika!?Mwamunyange ni mkuu wa majeshi ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.Zingatia neno muungano.
Ushahidi watu hao wote wapo.Uliza wazanzibari wa serikalini wakwambie.Lakini hata mwanasheria kuna mwanasheria mkuu wa Zanzibar na jaji mkuu wa Zanzibar mnashangaa nini hivyo vipo miaka mingi ndio mmejua leo au nini?Acha kupotosha mkuu una ushahidi