Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,249
- 14,082
Kabisa Januari yuko vizuri.
wee acha tyuuuuuuuuih
Yupo vizuri, mzee wa mipangoJumla Wagombea 41
January Makamba kura 680
Aliefwatia 21
Tuendelee Kunywa Mchuzi Nyama zipo ChiniView attachment 1511942
Kila la Heri Waheshimiwa Paul makonda, Gambo, katambi Ole sendeka na Mwanri
Dogo aende ACT au NCCRNassari nassari tulikuambia haukutaka kusikiaView attachment 1511945
MwanakuligetiMwana kuli-find.....
Bdo jiwe naye akumbane na fedheha yake kwa MembeNakumbuka kabisa ambavyo mlinihakikishia kuwa Mtu anaenda ' Kumalizwa ' kwa namna ya Kipekee kabisa na hatoamini Macho na Masikio yake nikawa ' nawabishia ' hatimaye kile kile mmekifanya. Kwa Furaha Kubwa niliyonayo kwa Kazi yenu nzuri nashindwa Kuendelea Kuandika hapa ila naomba mkubali na mpokee hizi Zawadi za Wanyama Mbuzi Watano ili mkachinje mle huko Makwenu na Familia zenu.
Hata Ubebwe vipi, utumie Vitisho gani na utumie Pesa zako za Dhuluma ila Mwenyezi Mungu akisema NO huwa anamaanisha NO mazima hasa.
Na bado watasaga meno kabisaaaaaah, bahari ipo karibu wakajitupe hukoo, wasitutie mikosi khaaaaahNimepita kigamboni nikakuta kambi ya mwana wa mfalme wanaangua vilio utadhani kuna msiba
Ngoja tumuone Gwajima anavyopanua huduma
Atabaki Dar na kufany biashara zake.Dah na kama hakujiandaa atarudi Igoma kulima.