Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,651
- 68,601
Siasa za CCM!! Unaweza sikia huko mbele vikao vya juu vimempitisha kua mgombea wao.
Kavbisaa
Siasa za CCM!! Unaweza sikia huko mbele vikao vya juu vimempitisha kua mgombea wao.
Ushahidi mkuu ulishapelekwaMkuu unawasakama sana huyo Mr Shayo na huyo Mr Priscus haucomment chochote zaidi ya ya kuwataja majina Yao post nzima comments zako ni hao tu 😂😂
Kama una ushaidi wapeleke Takukuru, kumbuka kwenye mashindano kuna kushinda na kushindwa
Naona Makonda wameamua kumchinja live
Tayariiiii hukooooooooooh
nitafurahi,naomba ashinde tu ktk jina la Yesu!Ndugulile ni noma aisee ....
Wahamiaji haramu?😂😂😂watajua kuwa hawajui kwanza zile kadi wanazopewaga usikute hata hazipo kwenye orodha ya wanachama yani hazijalipiwa hata ukimuuliza wewe unatoka tawi gani atakuambia Lumumba!!!!😂😂Nauliza tu kwa wale wataalamu wa sayansi ya siasa kwamba hawa wahamiaji waliotoka CHADEMA kwenda CCM walitumia mbinu gani wakati wa uchaguzi mdogo hadi wakawagaragaza vibaya washindani wao kutoka CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Bashite atapewa kingine kwani vinanunuliwa si vinagawiwa tuHaya matokeo yataua watu wenye pressure. Umeacha cheo chako unakosa vyote ...dah
Daaaaaaaah itakua tatizooooooh sasaSiasa za CCM!! Unaweza sikia huko mbele vikao vya juu vimempitisha kua mgombea wao.
Yaaaaani lolAhahahaaa
Kwani JPM ndio alikua anapiga kura?JPM kaamua kumchinja dogo live .
enda tu,au nikuongezee nyingine mpesaMkuu kama ni kweli ' ameshachinjwa ' tafadhali nijulishe kwani nataka kwenda kutafuta Nyama Choma na Konyagi yangu nianze Kusheherekea.
Mamluki aka Masenaries aka Mercenaries hawatoboi kabisa 100% wote wanatemeshwa viazi vya moto!!Kile ulichokiona kwenye uchaguzi wa marudio kwa hao mamluki toka upinzani, ndio style kabisa ya ushindi wa ccm. Ila sasa hivi wanadhalilika maana hawakuwa wanakubaliwa na wanacm, bali ilikuwa ni mpango wa siasa chafu za mwenyekiti na genge lake.
Safi sana amekuwa wa mwisho wananchi hawamtaki mpuuzi huyuJamani huu uzi si wa matokeo, ni wa joke tu.
Mnakumbuka yule engineer aliyekuwa anapewa amri kule Tabora!? Engineer somaa hiyo.
Sasa leo naona aliyekuwa anamsomesha namba engineer kasomeshwa yeye😂😂😂😂
Hongera mzee wangu Agrey Ila usicheze tena na ma engineeer
Siha
1. Dkt. Godwin Mollel - 58
2. Justine Kweka - 85
3. Lameck Munuo - 91
4. Aggrey Mwanry - 151
5. Engineer: Betson Maimu - 231
Yaani mi nimeshaanza kula nyama tayari...... SHETANI hatakiwi kupata hata kura mojaMkuu kama ni kweli ' ameshachinjwa ' tafadhali nijulishe kwani nataka kwenda kutafuta Nyama Choma na Konyagi yangu nianze Kusheherekea.
Aa mkuu watoto wetu huko shule wanazotumia kibeberu wanasema A FOR AAPPLE B FOR BALL M FOR MAKONDA F FOR FAUSTINEHizo namba zinamanisha nn?
Mkuuuu ulikuwa sahihi soma hiyoooooooooohMkuu kama ni kweli ' ameshachinjwa ' tafadhali nijulishe kwani nataka kwenda kutafuta Nyama Choma na Konyagi yangu nianze Kusheherekea.