Mkuu macho na masikio yangu yapo Siha kwa sasa, natumai moleli atarudi kwao kuchunga ng'ombe na ndugu yetu Mwandri kupewa idhini ya kulitetea jimbo
Kuna wabunge wa kuteuliwa atamfikiria huyu mvuta bangi,Mtulia,Lijualikali,Waitara,Kalanga.

Wengine wanaweza kupewa ukatibu tawala au ukuu wa wilaya.

Nafikir wakishika nyadhifa hizo wasahau tena ubunge.
 
Screen shot hyo matokeo kgamboni
Hayooo
Screenshot_20200720-160556.jpg
 
Back
Top Bottom