Kuna wabunge wa kuteuliwa atamfikiria huyu mvuta bangi,Mtulia,Lijualikali,Waitara,Kalanga.Mkuu macho na masikio yangu yapo Siha kwa sasa, natumai moleli atarudi kwao kuchunga ng'ombe na ndugu yetu Mwandri kupewa idhini ya kulitetea jimbo
Ahsante mkuu!Wanasema mpiga kura ni Mjumbe tu. Unaweza kuwa member but usiwe mjumbe wa ngazi husika. Niliuliza hili asubuhi nikajibiwa
hawana akili hao wapiga kura, yaani unamuacha mtu mwenye PhD halafu unachagua mtu mwenye utata wa elimu?!.
kweli kupata maendeleo afrika ni ndoto
Kwani kitila katia nia jimbo lipi?Nchemba kaponea chupu chupu. Amepita kwa kura chache sana! Inaoneka kama asingepewa Uwaziri, Kitila angetia nia Iramba na angeweza kumwangusha!!
Hii nimeishuhudia huko Isimani kwao kiongozi mstaafu wa Bavicha mh Ole sosopi.
Watia nia watatu wa CCM wamepata kura 0 kwenye kura za maoni za watia nia ya ubunge.
Anayejua Tafadhali!
Maendeleo hayana vyama!
Twitter ya nani?Check twitter. Makonda chali mbele ya Daktari. Kachakazwa vibaya.
Wewe acha hizo. Kweli ?Check twitter. Makonda chali mbele ya Daktari. Kachakazwa vibaya.
Tulia makonda chalii Mtulia wako chalii , na bado mtasaga meno Leo.
Tuwekee tuioneScreen shot hyo matokeo kgamboni
Makonda chaliii, Gwajima chalii, Kigwangala oyee, Bashe chaliii, Mnyeti chalii, Gambo oyee, Sendeka chaliii,
Kumbe aliyeleta matokeo mwanzo hapa katudanganya makonda kapitaTulia makonda chalii Mtulia wako chalii , na bado mtasaga meno Leo.
HayoooScreen shot hyo matokeo kgamboni