Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Na mimi nilitaka kujua hao wajumbe wanaopiga kura za maoni wanapatikanajeHv kura zinapigwa na wanachama wa ccm wote au Kuna wajumbe maalum na wako wangapi
Na mimi nilitaka kujua hao wajumbe wanaopiga kura za maoni wanapatikanajeHv kura zinapigwa na wanachama wa ccm wote au Kuna wajumbe maalum na wako wangapi
Dodoma mavunde kaangushwa vibaya
Kinondoni hatupendagi ujinga ujinga kabisa sasa mtulia aendelee kulima mboga mboga
Yes!
JESUS IS LORD
Naombea yule shetani ibilisi mkuu asipate hata kura moja
Hiyo ni kama nec jimboniNa mimi nilitaka kujua hao wajumbe wanaopiga kura za maoni wanapatikanaje
Check twitter. Makonda chali mbele ya Daktari. Kachakazwa vibaya.Makonda alijiandaa. Katembeza sana pesa kule.
PHD ni makaratasi tuhawana akili hao wapiga kura, yaani unamuacha mtu mwenye PhD halafu unachagua mtu mwenye utata wa elimu?!.
kweli kupata maendeleo afrika ni ndoto
Amani ya nchi iko mashakani Sasa. Tutegemee watu kuendelea kupotea.Makonda ,,Kachukua kigamboni
Kaangushwa uko ndugu yakoMakonda hoyeeeeh, Kwa dar kwenye majimbo akuna wa kushindana na Makonda. Makonda ni jina kubwa.
Hata uteuzi hatapata!Woyoooo woyoooo ndio akome kuunga mkono juhudi, sasa asubiri uteuzi
safi.Uwiiii uwiiiiiiii Naibu Waziri mh Mavunde mbunge wa Dom mjini agaragazwa vibaya hata tano Bora hayupo ,aliyekuwa DC kongwa Ndejembi aibuka kidedea
Mmmh! Labda kwa uteuzi wa viti maalum.Kama Kigamboni bwana yule kapeta, sasa naanza kuamini maneno ya Kigogo2014 wa twitter...kuwa bwana yule anaenda kupewa nafasi nyeti, na possibly mrithi rasmi 2025.
Ikiwa na ukweli "wale wazee vetting" sijui watsemaje??!!
Mbona wanasema kazoa kura 316 zidi ya 69 za Dokta?Check twitter. Makonda chali mbele ya Daktari. Kachakazwa vibaya.
Tushike lipi wakuu mbona nasikia jamaa kapita?Kaangushwa uko ndugu yako
Itakua poa sana aisee...... SHETANI ANASHINDAJE HUYU??Check twitter. Makonda chali mbele ya Daktari. Kachakazwa vibaya.
Makonda kawa konda mkuu dereva ni NdungulileTushike lipi wakuu mbona nasikia jamaa kapita?
Moshi vijijini,ida mushi wa itv vipi?