Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
kupita kura za maoni ni utaratibu tu wa vyama mziki upo kwenye waamuzi wa mwisho ambao ni raia katika sanduku la kura, Wao hulipa yale ambayo unastahili
Hivi ukishapita kwenye kura za maoni ndo umepita au unaweza kukatwa huko mbele even wananchi wamekuchagua wewe?