Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
1 Kwanini Mkristo akigombea Zanzibar iwe hawezi kushinda ?
2.Kwani wazee wa kiislamu pale Ujiji wanamtishia kitu gani Profesa Ndalichako kama sifa anazo ?
 
Sidhani Kama anakubalika kushinda Cypirian Mrema na Emmanuel Maluli. Kwa sababu Mrema ni Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Ubungo na Maluli Katibu hamasa kata ya Makuburi.

Makuburi ni kata maarufu na yenye ushawishi mkubwa Wilaya ya Ubungo.

Na hawa vijana Mrema na Maluli ni maarufu sana Ubungo kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi za chama kwa karibu na wanachama wa CCM pamoja na wajumbe wa mkutano mkuu wilaya ya Ubungo ambao ndiyo wapiga kura.

Kitila kimsingi Ni mgeni katika siasa za Ubungo.
Pesa haina ugeni bwashee!
 
Waziri wa Fedha Dr. Mpango anakabiliana na mhe. Obama mbunge anayetetea kiti hicho jimbo la Buhigwe. Kasulu mjini ni waziri wa Elimu Prof.lJoyce Ndalichako dhidi ya Daniel Nsanzugwako mbunge anayetetea jimbo hilo. Dr Mpango anatokea eneo lililo pembeni mwa jimbo hilo na lenye wakazi wachache huku Obama akiwa mzaliwa wa Manyovu upande wenye wakazi wengi. Kwa upande wa Ndalichako huyu amekulia na kusomea Kigoma mjini japo asili
yao in Kasulu mjini. Awali alikuwa agombe Kigoma mjini lakini akakimbilia Kasulu baada ya kuona jimbo hilo uamuzi wa kuwa mbunge huamliwa na wazee wa Ujiji ambao ni waislamu.
Wazee wa ujiji ambao ni waislamu wanamzuia vip Prof Ndalichako asiweze kushinda kama sifa anazo ?
 
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.

Kura za maoni kwa wabunge wa tiketi ya CCM zinaanza kupigwa leo lakini watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali.

Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.

Ngoja tuone.

Up dates:

Maendeleo hayana vyama!
Bunda mjini kwa mzee Wasira
 
1 Kwanini Mkristo akigombea Zanzibar iwe hawezi kushinda ?
2.Kwani wazee wa kiislamu pale Ujiji wanamtishia kitu gani Profesa Ndalichako kama sifa anazo ?


Angalia tu jina Prof Joyce Lazaro Ndalichako.

Hicho tu kinampunguzia kura Kigoma Ujiji.

Ujiji panamfaa Zitto Zuberi na Abdul Nondo
 
Ndalichako anagombea Kasulu.

Serukamba ni mgalatia lakini alikuwa mbunge wa Kigoma mjini kabla hawajabadilishana majimbo na Zitto!
kuna mdau anadai sababu ya Ndalichako kukimbilia Kasulu eti kuna wazee wa Kiislamu ujiji ndio wamemfanya akimbilie Kasulu , ndio nikamuuliza aniambie kwa lipi hao wazee wawe na nguvu za kumkimbiza Prof Ndalichako
 
Back
Top Bottom