Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...
Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Porn star gwajimen apigwe arudi mtaani kuendelea kuratibu kile kikundi chake cha kikabila.......Upo sahihi mkuu, Gwajima anapaswa kupewa nafasi achuane na Mdee.
Sidhani kama atatoboaNasubiria za mama JK
Umewahi kucheza nayeNo porn star in the parliament 🤣🤣🤣
Gwajiboi uso umemshuka
Safi sana sanaaaaa
Tulia we kule unapendelea nani apite, mwenyewe nayasubiriNaombeni matokeo ya jimbo la Kilwa kaskazini.
Jimbo linaenda kwa Mdee saa mbili asubuhi kabla misa ya kwanza haijaisha.
Kwanza hujui wafanyabiashara. Kuu..... Tuachane na hiyo umemuona mnyomge hapo?kwani mfanyabiashara sio mfanyakazi? Angekuwa hafanyi kazi angekuwa na biashara? Gwajima sio mfanyakazi ? Angekuwa hafanyi kazi angekuwa na waumini na kanisa? Mfano Bakheresa sio mfanyakazi angekuwa hafanyi kazi angemiliki mali zote zile?
Au kwako tafsiri ya mfanyakazi ni ipi?
Nawasubiri hawa piaMwita Waitara ????Babu Tale ????
Na iwe hivyo inshaallahTaarifa ambazo hazijadhibitishwa zinasema Tale amedondokea tumbo hadi ametapika mishkaki miwili na chips kavu alizokula jana usiku.
Porn star gwajimen apigwe arudi mtaani kuendelea kuratibu kile kikundi chake cha kikabila yeye na makonda.......Yeyote ajaye sie tupo tayari View attachment 1512824
Ndio Mgombea mnyonge ni mtu akiwa anagombea anakuwa na support ya wanyonge wengi wenzie lakini ukiona anapata zero au kura moja huyo hata kuitwa mnyonge hafai hana wenzie wa kumuunga mkono?Kwanza hujui wafanyabiashara. Kuu..... Tuachane na hiyo umemuona mnyomge hapo?
Hana aibu yule... angekuwa na aibu asingejaribu kugombeaSijui aibu ataziweka wapi
Sidhani kama atatoboa
Sawa mkuundio mnyonge ni mtu akiwa anagombea anakuwa na support ya wanyonge wengi wenzie ukiona anapata zero au kura moja huyo hata kuitwa mnyonge hafai hana wenzie wa kumuunga mkono?