Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,614
- 67,078
Naomba nikupinge kwa hoja na pia naomba niwapongeze waandaji kwa kuacha uhuru wa kila msanii kuomba kazi yake ishindanishwe na katika kifungu anachoona yeye mwenyewe mwenye kazi kuwa kinafaa kuwa pale.
Hii ni nzuri na itasaidia kwa wasnii watata wale wanaoibuka na kulalama kuwa sitaki nishirikishwe tuzo zenu mara ohhh wanapendelea mara ohh nimeonewa. Hapa unajilipua mwenyeweeeee... Haina lawamaaa.
Hii ni nzuri sababu wapo wasnii wanaamini wao ni wakubwa kwa majina na umaarufu wa skendo na magazeti mjini..... Hawa wataumbuliwa na kazi nzuri za wasanii wachanga watakaoingia kwenye kundi moja nao.
Pia hii ni funzo sahihi kwa wasanii kutunga na kutengeneza nyimbo kwa uwelewa zaidi uko katika midundo ipi ili aweze kushindanishwa na wanamuziki wenzake say afropop au traditional dance au gospel n. K.
Mwanzo mzuri na big up eatv kwa tuzo za kitanzania ...... Wanaojiona wao wakubwa itajulikana tuu... Tujipe 5yrs tutapata majibu ya hizi tuzo.
Ukipitia post zangu vizuri utagundua kwamba hiyo si hoja.
Na ikibadilika haileti madhara, kwa mfano kwa vipengele vya mwaka huu, hilo zoez lilikuwa un necessary, vipengele vilikiwa vinaonekana kabisa. Tena vilikiwa vichache.