YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Anasubiriwa ashuke jukwaani wamkabidhi taarifa ya kuenguliwaHuyu anayefanya kampeni leo ni pacha wake?
Anasubiriwa ashuke jukwaani wamkabidhi taarifa ya kuenguliwaHuyu anayefanya kampeni leo ni pacha wake?
Wakifanya hivyo nijulishe.Anasubiriwa ashuke jukwaani wamkabidhi taarifa ya kuenguliwa
Vyombo vya habari vitatangaza sio siriWakifanya hivyo nijulishe.
Mgombea Urais wa Tanzania anayeelekea kushinda Tundu Lissu leo atatikisa visiwa vya Pemba.
Pemba ngome Kuu ya ACT wanatarajiwa kumlaki kwa kishindo mgombea huyo wa Urais ambaye chama chake na ACT Wana urafiki wa Damu.
ACT Wazalendo imetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu nafasi ya Urais wa Muungano huku CDM ikitangaza kumuunga mkono Maalim Seif nafasi ya Urais Zanzibar
Updates saa 2.30 asubuhi
Tayari mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili kisiwani Pemba hivi sasa tayari kwa mkutano wa kampeni za mgombea Urais Chadema ambao utahudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa ACT
========
Sheikh PONDA: Huu uchaguzi msingi wake ni kuhakikisha haki inapatikana lakini haki haipatikani kwa kuomba, haki inachukuliwa. Huu ndio mkakati katika uchaguzi huu. Mko tayari kuchukua haki zenu?
Mmesikiliza dua aliyoiomba baba Askofu, imezungumza lugha hii ninayoizungumza mimi, hii ndio lugha ya wakristo Tanzania, ndio lugha ya Waislamu Tanzania. Ndio lugha ya viongozi wa vyama vikubwa vya siasa Tanzania kwamba tunachukua haki yetu safari hii.
Tutahakikisha yule ambae aloshinda kwa kura za wananchi huyo ndie ambae anatangazwa.
JUSSA: Langu la kwanza, mara hii kama walidhamiria kuifisidi Pemba basi CCM itaangushwa Unguja. Waliengua wagombea
wakadhani watawavunja moyo wana-ACT wazalendo na wazanzibari lakini nikupeni habari za Kisiwandui?
Kisiwandui wanalizana vilio mtindo mmoja, uchaguzi huu hausimamiwi na ZEC na NEC kama tulivyozoea miaka ya nyuma. Mara hii kuthibitisha ukoloni wao wameletwa maafisa usalama kutoka Tanganyika kuja kusimamia uchaguzi wa Zanzibar.
Lakini ambalo hawakulikumbuka afisa usalama hawawezi kubadili msimamo wa wananchi wa Unguja na Pemba katika tunalolitaka.
=======
Pichani ni mgombea Urais Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo ndugu, Seif Sharif Hamad akimuombea kura mgombea Urais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania ndugu, Tundu A. Lissu leo 22 Oktoba 2020 katika Viwanja vya TIBIRINZI Pemba.
#ZanzibarYenyeMamlakaKamili
Kamkate asigombee.
Hakuna mzanzibat anaependa muungano olá wanaopata manufaa yao tu.upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini
Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda
Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tena wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZANZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano tena
Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano
Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa
Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi
Ndio mnayotegemea kuwasaidia.Huyu maalim si kapewa azabu na tume huyu. Asijaribu kutafuta matatizo hata kidogo
Tanzania bara wanataka muungano lakni visiwani hawautaki hat kuuona usitusemee.Ndio ushangae Tanzania bara wengi wanataka muungano Zanzibar pia halafu utashangaa kuona upinzani wanaongelea kupinga muungano nawanagombea uraisi wa muungano fikiria mtu kama Lisu akili zimo kweli anagombea uraisi wa muungano Halafu anasema haitaki muungano kuna kura za wapenda muungano atazipata kweli
Wewe ndiyo huijui pemba.Pemba huijui ni ngome ya vyama vinne kuna CCM Pemba ndiko alikozaliwa Raisi Mohamed Shein na ndiko alikozaliwa mama Siti Mwinyi mama yake mgombea uraisi wa sasa wa Zanzibar Hussain Mwinyi pili Pemba ni ngome ya chama cha CUF cha Lipumba tatu Pemba ni ngome ya chama cha ADC cha Hamad Rashid Mohammed kimeshatoa hadi waziri wa serikali ya Zanzibar Kule cha nne ni ACT Maalim Seif Pemba atashindwa mapema tu asubuhi
Huna adabu.Shein na mbarawa wote wapemba Maalim Seif ndie mwarabu wa kuja Pemba ngome ya CCM ya raisi aliyepita Abeid Amani Karume mama yake Mpemba ndio maana Seif kipindi cha Karume alibwagwa na cha Shein mpemba akabwagwa mara mbili na sasa ajiandae Pemba hana mtelemko wa ushindi kule Unguja ndio kabisa hapati kitu ni ngome kuu ya CCM na CUF tu ndio maana kutwa anakimbilia Pemba kama Lisu ambaye kutwa anakimbilia Singida akirudi mara mbilimbli kampeni
Sijui Mwinyi yupo kwenye hali gani anapoona haya mambo na uungwaji mkono mkubwa kama huu kwa Maalim Seif Hamad SharifLeo CCM Nchi Nzima Masikio Ni Pemba Kujua Nini Kinakwenda Kuongelewa, Kesho Utasikia Pole Pole Anaongea Na Wana Habari Kupooza Joto
CheeeeMpaka saa hii Hamad Rashid ni waziri serikali ya umoja wa kitaifa ya Mohamed Shein
Ccm haijwahi kushinda uchaguzi Zanzibar tangu mwaka 1995.Shein na mbarawa wote wapemba Maalim Seif ndie mwarabu wa kuja Pemba ngome ya CCM ya raisi aliyepita Abeid Amani Karume mama yake Mpemba ndio maana Seif kipindi cha Karume alibwagwa na cha Shein mpemba akabwagwa mara mbili na sasa ajiandae Pemba hana mtelemko wa ushindi kule Unguja ndio kabisa hapati kitu ni ngome kuu ya CCM na CUF tu ndio maana kutwa anakimbilia Pemba kama Lisu ambaye kutwa anakimbilia Singida akirudi mara mbilimbli kampeni
Makamu wa kwanza wa Rais ni nani?Mpaka saa hii Hamad Rashid ni waziri serikali ya umoja wa kitaifa ya Mohamed Shein
Nimeonja onja kachumvi, nitakuambia kwa kuvutia wanapotoa mada yupo Mwalimu na Lissu. Yaani bundle inaliwa na unaomba jamaa aendelee. Mkoloni mweusi na vibaraka wao leo wamekaangwa ile mbaya. Thank you/Akhsante TAL may... GOD bless you.CCM antena zote ni Pemba !! Kweli Lissu wewe ni game changer.....