Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,751
- 19,987
Asante sana bana PEMBA....hata na MUNGU amesikia
😁😁😁😁😁,endeleeni kuota!Maalimu Seif si mgombea tena wa kiti cha urais,
Huwajui wapemba wewe,acha shobo zako hapa!Mwambieni huyo Lipumba akafanye mkutano pemba na CUF yake waone aibu watakayoipata!!!!Pemba huijui ni ngome ya vyama vinne kuna CCM Pemba ndiko alikozaliwa Raisi Mohamed Shein na ndiko alikozaliwa mama Siti Mwinyi mama yake mgombea uraisi wa sasa wa Zanzibar Hussain Mwinyi pili Pemba ni ngome ya chama cha CUF cha Lipumba tatu Pemba ni ngome ya chama cha ADC cha Hamad Rashid Mohammed kimeshatoa hadi waziri wa serikali ya Zanzibar Kule cha nne ni ACT Maalim Seif Pemba atashindwa mapema tu asubuhi
Nimeroga uchaguzi huu mpaka nanuka tunguli
Mama yake mwinyi ana tuhusu ninii..hakuna cha baba ake wala babu yake uchaguzi uu amna pumba ..Pemba huijui ni ngome ya vyama vinne kuna CCM Pemba ndiko alikozaliwa Raisi Mohamed Shein na ndiko alikozaliwa mama Siti Mwinyi mama yake mgombea uraisi wa sasa wa Zanzibar Hussain Mwinyi pili Pemba ni ngome ya chama cha CUF cha Lipumba tatu Pemba ni ngome ya chama cha ADC cha Hamad Rashid Mohammed kimeshatoa hadi waziri wa serikali ya Zanzibar Kule cha nne ni ACT Maalim Seif Pemba atashindwa mapema tu asubuhi
Nimejikuta tu nachekaNimeroga uchaguzi huu mpaka nanuka tunguli
Pemba ni Seif Sharif Hamad hakuna mwengine..Pemba huijui ni ngome ya vyama vinne kuna CCM Pemba ndiko alikozaliwa Raisi Mohamed Shein na ndiko alikozaliwa mama Siti Mwinyi mama yake mgombea uraisi wa sasa wa Zanzibar Hussain Mwinyi pili Pemba ni ngome ya chama cha CUF cha Lipumba tatu Pemba ni ngome ya chama cha ADC cha Hamad Rashid Mohammed kimeshatoa hadi waziri wa serikali ya Zanzibar Kule cha nne ni ACT Maalim Seif Pemba atashindwa mapema tu asubuhi
Shein na mbarawa wote wapemba Maalim Seif ndie mwarabu wa kuja Pemba ngome ya CCM ya raisi aliyepita Abeid Amani Karume mama yake Mpemba ndio maana Seif kipindi cha Karume alibwagwa na cha Shein mpemba akabwagwa mara mbili na sasa ajiandae Pemba hana mtelemko wa ushindi kule Unguja ndio kabisa hapati kitu ni ngome kuu ya CCM na CUF tu ndio maana kutwa anakimbilia Pemba kama Lisu ambaye kutwa anakimbilia Singida akirudi mara mbilimbli kampeniPemba ni Seif Sharif Hamad hakuna mwengine..
Shein wapemba wanasema sio mpemba bali Mmakonde
Huyu Siti Mke wa Mwinyi si anatokea Unguja Bumbwini?
Hamad Rashid ni mpemba mamluki,hivi huyu Hamad unamsikia katika siasa za Zanzibar?..
Mpaka saa hii Hamad Rashid ni waziri serikali ya umoja wa kitaifa ya Mohamed SheinHamad Rashid ni mpemba mamluki,hivi huyu Hamad unamsikia katika siasa za Zanzibar?..
Kesha enguliwa😁😁😁😁😁,endeleeni kuota!
Mbona keshaondolewa huyo, znz ni Mwinyi peke yakeMashetani wote wanaombea hivyo.
Kampe M/Kiti wa TUME amfute kugombea.
Keshaondolewa tayari mbonaKampe M/Kiti wa TUME amfute kugombea.
Huyu anayefanya kampeni leo ni pacha wake?Keshaondolewa tayari mbona
Znz huko kula ubweche tu, safu ya sherehe ilishapangwa😁😁😁😁😁,endeleeni kuota!
Aisee......nimekuelewa Mkuu.
upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini
Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda
Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tena wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZANZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano tena
Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano
Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa
Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi
Wote uliowataja hawajawahi kushinda Maalim. Mimi najua, wewe unajua na Dunia nzima inajua.Shein na mbarawa wote wapemba Maalim Seif ndie mwarabu wa kuja Pemba ngome ya CCM ya raisi aliyepita Abeid Amani Karume mama yake Mpemba ndio maana Seif kipindi cha Karume alibwagwa na cha Shein mpemba akabwagwa mara mbili na sasa ajiandae Pemba hana mtelemko wa ushindi kule Unguja ndio kabisa hapati kitu ni ngome kuu ya CCM na CUF tu ndio maana kutwa anakimbilia Pemba kama Lisu ambaye kutwa anakimbilia Singida akirudi mara mbilimbli kampeni