Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015


Close
CP_jAQPWwAAZsY8.jpg:large



Nimeipenda hii slogan mpya, watu ni wabunifu si mchezo.
 
Mimi nipo tanga na uzuri leo tanga ni hali ya barid toka asubui mvua inanyesha na mkutanoni kulikua na watu si wengi hivyo kama alivokuja magufuli watu walikua wengi sana na hakuna alozimia wala kukosa pumz na kulikua na jua kali sana hii ya leo lowasa amekuja na ndege na amesimama dk 3 tu akakaa vurugu likaanzia mbele walikokua vikundi vyao ndo kusababisha vurugu na kubwa pilisi ndo wakatuliza na kama umati ungekua mkubwa polisi wasingeweza acheni uongo ukawa kwa tanga hawana watu wengi kama ccm
 
Hili ni balaaa si kitoto..!!

Nawashukiru sana team kampeni ya UKAWA kutokuendelea na mkutano huo ili kuzuia Maafa kama ya Uarabuni. Lazima utafutwe uwanja mwingine na siku nyingine ili wanatang wapate neno la Ukombozi.

BACK TANGANYIKA

Wallahi jamani naipenda cdm/ukawa
 
Nimecheki chanel ten,kweri yalikuwa mafuriko,.mzee alisema mafuriko hayazuiwi kwa mikono,kweli nimeamini maneno yake leo Tanga
 
"Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki."Mithali 16:31,”Nyumba ya mtu mbaya itabomolewa; Bali hema ya mwenye haki itafanikiwa” Mithali 14:11..Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.Mithali 14:34 "Afadhali mtu akutwe na dubu aliyenyang'anywa watoto wake, Kuliko na mpumbavu katika upumbavu wake" Mithali 17:12. CCM mjiandae 25 Oktoba,2015,Sisi "Wapumbavu","malofa" na "mbumbumbu" tutakuwa katika ubora wetu nyumba yenu ITABOMOLEWA asubuhi mapema sana !!!Lofa mwenzangu, gonga LIKE twende pamoja na Lowassa!!
 
kweli kwa hapa lazima kiushuzi kimtoke sijaona mahali lowassa kapata mapokeo madogo zaidi ya katavi tu sehemu nyingine zote mafuriko ya maana. Sehemu zilizonifuraisha ni dodoma, tanga, kahama, shinyanga, geita rukwa ambazo ndo ngome za ccm ila wameshikwa nakumbuka 2010 dr slaa hata hakujiangaisha kwenda huko coz ilikuwa ngumu ila sasa hivi vijana wanataka mabadiliko

Umesahau morogoro mkuu
 
Leo tanga abiria wametembea kwa miguu baada ya magari na noah kuwa na kazi maalum ya kubeba watu kwenda kwenye mkutano wa ukawa ambao inasemekana bila kufanya wangekosa watu na kuibuia mtafaruku mkubwa miongoni mwao, umati wala tusitishike wana ccm
 
Duh, unaweza kuwa sio mzima wew!


Mimi nipo tanga na uzuri leo tanga ni hali ya barid toka asubui mvua inanyesha na mkutanoni kulikua na watu si wengi hivyo kama alivokuja magufuli watu walikua wengi sana na hakuna alozimia wala kukosa pumz na kulikua na jua kali sana hii ya leo lowasa amekuja na ndege na amesimama dk 3 tu akakaa vurugu likaanzia mbele walikokua vikundi vyao ndo kusababisha vurugu na kubwa pilisi ndo wakatuliza na kama umati ungekua mkubwa polisi wasingeweza acheni uongo ukawa kwa tanga hawana watu wengi kama ccm
 
acheni kudanganya watu umati gani huo, mafuriko ya kutengeneza,

rais ni Dr Magufuli
full stop
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom