Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,800
- 11,333
Uzi mtamu huu sijui kwanini sikuuona tangu ulivyoanza mwaka jana.
Mimi nilisoma habari za kifo na nadharia zake nikiwa bwana mdogo sana.
Mengi ni kama nimesahau na sikujishughulisha tena kuyajua.
Ila n'nakumbuka wakati fulani kuna mzanzibar aliwahi kusema kuna wakati kaburi la marehemu Karume lilikua likifuka moshi. Na baada ya dua nyingi mfululizo likaacha na ikawa ndi sababu ya kulizungushia ukuta. Je, ni ya kweli haya au hadithi za gahawa?
Cc: Pohamba, FaizaFoxy, Mohammed Said
Mimi nilisoma habari za kifo na nadharia zake nikiwa bwana mdogo sana.
Mengi ni kama nimesahau na sikujishughulisha tena kuyajua.
Ila n'nakumbuka wakati fulani kuna mzanzibar aliwahi kusema kuna wakati kaburi la marehemu Karume lilikua likifuka moshi. Na baada ya dua nyingi mfululizo likaacha na ikawa ndi sababu ya kulizungushia ukuta. Je, ni ya kweli haya au hadithi za gahawa?
Cc: Pohamba, FaizaFoxy, Mohammed Said