Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,486
- 51,063
Kwa namna yoyote, uchaguzi uliofanyika jana ni kilele cha kiburi cha hali ya juu cha watawala kuonyesha dharau mbele ya wananchi.
Watawala kwa kutumia TISS, NEC, Polisi, Jeshi wamefanya kila aina ya uhuni dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Wamepiga risasi na kuua watu Zanzibar, Wameondoa mawakala wa upinzani kwenye vituo vya kupigia kura, kabla ya hapo tangu kipindi cha kampeni wamevamia wagombea wa vyama vya upinzani na kuharibu mali zao na kuwaharass kwa kila namna, Wameingiza kura feki kibao katika sehemu mbalimbali za nchi.
Sasa ndugu zangu, kuna uchaguzi hapo?
Mimi nivipongeza vyama vya upinzani, Vimetimiza wajibu wao wa kuwa sauti mbadala katika nchi kwa tabu, mauivu na machungu mengi.
Kushiriki kwenu kwa tabu nyingi, kumesaidia kutuonyesha na kuuonyesha uimwengu aina ya utawala wa kidhalimu tulio nao
Nawaonea huruma Polisi wetu, Uslama wa Taifa na hata Wanajeshi wanadhani kwa kuwalinda watawala na udhalimu wao basi wao maisha yao yatakuwa bora. Masikini laiti wangalijua, Wanalinda mfumo wa kidhalimu utakaowaumiza hata wao wakiwa waevua hayo magwanda na bunduki zao zibazowafanya wajihisi wako juu mbinguni.
Ndugu zangu, CCM kamwe haitong'oja kwa vikaratasi hivi viitwavyo kura katika set up tuliyonayo hivi sasa. The Next step ya action ya vyama vya upinzani, mwananchi mmojammoja, taasis binafsi, lazima wajue kuwa CCM ilishakataliwa na wananchi atleast kuanzia mwaka 2010, Kilichofanyika kuanzia hapo ni uhuni, ghiliba, ulaghai, uonevu, hongo. Kwa hiyo uchaguzi huu uwe ni Jaribio la kuhitimisha(conclusive test) kuwa kamwe KATIKA MFUMO HUU TULIONAO, CCM KAMWE HAWATOKUBALI KUONDOKA KWA KURA. Wapanga strategy kwa ajili ya Tanzania mpya lazima mlitilie maanani hili jambo!
Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania, puuzeni huu ujinga wanaosema ni uchaguzi umefanyika jana, Ule siyo uchaguzi ni uhuni mtupu!
Watawala kwa kutumia TISS, NEC, Polisi, Jeshi wamefanya kila aina ya uhuni dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Wamepiga risasi na kuua watu Zanzibar, Wameondoa mawakala wa upinzani kwenye vituo vya kupigia kura, kabla ya hapo tangu kipindi cha kampeni wamevamia wagombea wa vyama vya upinzani na kuharibu mali zao na kuwaharass kwa kila namna, Wameingiza kura feki kibao katika sehemu mbalimbali za nchi.
Sasa ndugu zangu, kuna uchaguzi hapo?
Mimi nivipongeza vyama vya upinzani, Vimetimiza wajibu wao wa kuwa sauti mbadala katika nchi kwa tabu, mauivu na machungu mengi.
Kushiriki kwenu kwa tabu nyingi, kumesaidia kutuonyesha na kuuonyesha uimwengu aina ya utawala wa kidhalimu tulio nao
Nawaonea huruma Polisi wetu, Uslama wa Taifa na hata Wanajeshi wanadhani kwa kuwalinda watawala na udhalimu wao basi wao maisha yao yatakuwa bora. Masikini laiti wangalijua, Wanalinda mfumo wa kidhalimu utakaowaumiza hata wao wakiwa waevua hayo magwanda na bunduki zao zibazowafanya wajihisi wako juu mbinguni.
Ndugu zangu, CCM kamwe haitong'oja kwa vikaratasi hivi viitwavyo kura katika set up tuliyonayo hivi sasa. The Next step ya action ya vyama vya upinzani, mwananchi mmojammoja, taasis binafsi, lazima wajue kuwa CCM ilishakataliwa na wananchi atleast kuanzia mwaka 2010, Kilichofanyika kuanzia hapo ni uhuni, ghiliba, ulaghai, uonevu, hongo. Kwa hiyo uchaguzi huu uwe ni Jaribio la kuhitimisha(conclusive test) kuwa kamwe KATIKA MFUMO HUU TULIONAO, CCM KAMWE HAWATOKUBALI KUONDOKA KWA KURA. Wapanga strategy kwa ajili ya Tanzania mpya lazima mlitilie maanani hili jambo!
Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania, puuzeni huu ujinga wanaosema ni uchaguzi umefanyika jana, Ule siyo uchaguzi ni uhuni mtupu!