Kwa taarifa yako waangalizi kwa kuwa siyo wanafiki kama wewe watapongeza zoei, the zima. Afu sasa tutafanya sherehe nchi nzima kuonyesha ccm ni baba lao
Acha uzembe wewe
Waangalizi gani wapongeze hilo li uchaguzi
Au waangalizi wa Lumumba?
 
Subiri matter o time. Beberu mwenzenu Lissu ameunga mkono kuwa uko vizuri. Shida yenu nyinyi ni vichaa
-Lissu alisema uchaguzi ni mzuri kwa kile kituo alichopigia kura na hakusema eti ni uchaguzi mzuri nchi nzima yeye alikuwa 'specifically' kwa kituo alichopigia kura.
 
Uchaguzi huu bado ni mugumu sana, tume yenyewe mpaka sasa hawajiamin, subr kuanzia kesho makombola yatakayovurumishwa, hamtaamin, wengi humu nawasoma tunawaacha,muda unaongea! lissu anajua nini anakifanya, hata kipara mwenyewe huko aliko aamini kbsa nin kitatokea kuanzia kesho! tuombe uzima.
Kwahiyo wewe unaomba itokee vurugu au sio?
 
-Lissu alisema uchaguzi ni mzuri kwa kile kituo alichopigia kura na hakusema eti ni uchaguzi mzuri nchi nzima yeye alikuwa 'specifically' kwa kituo alichopigia kura.
It was the same throughout the country. Sema Kituo gani kulikuwa na shida. Acha ukichaa wa kufikiri vitu ambavyo havipo.
 
Huu uchaguzi umeharibiwa kwa 100% haufai
Hapa ni kuomba tupigwe vikwazo ili wote nchi nzima tuimbe lugha moja
Wapinzani msiende mahakamani kwa sababu kwa mahakama hizi za sasa hata kama mna haki hamshindi
Uchaguzi urudiwe wote

Kama wewe unakula bure na kulala bure basi wenzio wanafamilia zinawategemea.Unavijua vikwazo wewe?
 
Acha uongo basi mzee, kwani hukuona ratiba ya urejeshwaji wa fomu au ndo uzee unasahau haraka.
Hakukuwa na ratiba ya kuchukua au kurudisha fomu; usijitungie mambo. Ilikuwa mtu akimaliza kupata wadhamini anarudisha fomu zake; kama wewe unayo ratiba basi iweke hapa badala ya kuzusha mambo yasikuwapo ili kupata umaarufu wa kisiasa tu
 
Acha uzushi! Hamad hafiki hata 20% mwaka huu nyingi zikitokea pema; zamani alikuwa neck to neck lakini siyo mwaka huu.
 
IMO only economic sanction will do, to be isolated by Western countries and International Organisations until when true democracy is respected in our beloved country. Iweje Malawi wafanye chaguzi huru na za haki na upinzani kushinda ili sisi ishindikane?

Iweje Seychelles ifanye chaguzi huru na za haki na upinzani ushindi lakini sisi ishindikane? Tumeona jinsi Watanzania walivyoonyesha msimamo mkubwa wa kutaka mabadiliko ya uongozi nchini kwanini kikundi cha watu wachache wazuie mabadiliko hayo kwa kutumia mtutu, vitisho, kura fake na wizi?
Inatakiwa tupate vikwazo kama Zimbabwe ya enzi ya Mugabe. Hapo akili itakaa sawa.
 
Back
Top Bottom