Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,990
- 103,373
Si mlisema mwaka huu ccm watajua hawajui? Kumbe mlikuwa mna maananisha kususia zoezi?
Nakuambia watanzania ww unasema habari za ccm! Idadi ya wapiga kura ni ndogo sana ukilingabisha na hiyo idadi ya kupika ya 29m+. Ukiwa mshabiki si lazima uwe mjinga.