Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 870
nimeyaua kwa hasira
Ukitaka kujua nani anatangazwa Rais angalia walinzi wenzako wa kura wapo wangapi.Nimepiga kura na Niko hapa hapa kituoni kwangu STOP OVER nalinda kura za AMIRI JESHI MKUU NIMPENDAYE T.A.M LISSU, aniguse mtu aone
Mara ngapi mmemuita Lissu shoga? Acha unafiki.Maneno kama haya ndio yanayo leta vita kwani huwezi kupiga kura bila kutukana mtu?
Hili ndio tatizo la JF na Mods wake. Vitu kama hivi ni vyakutoa kwenye mitandao...
Basi leo amekaa kwenye foleni. Sasa hutaki?
Siasa ni ujanja haki iko mbinguni duniani tunaridhishana tu.Kwa hiyo mtaiba muwezavyo
Tena kama bodaboda wanamchinja Lissu mapemaaa.. Maana wanampenda sana JPM kawapa uhuru wa kupiga hela hadi katikati ya mijiZamani kura walikuwa wanapiga wazee. Nakumbuka mara ya kwanza kupiga kura nilikuwa naogopa kukaa kwenye mstari maana ilikuwa ni eneo nilipokulia. Sasa wazee wengi wameniona nikikua pale nikawa naona vibaya wakija wanakaa nyuma nipo mbele.
Lakini mambo yamebadilika sana miaka hii. Leo nimeona vijana wengi sana wanapiga kura hususan hawa ndugu zetu wa bodaboda.
Nimefurahi sana leo, maana msaidizi wangu na msaidizi wa jirani (si unajua akili zao hawa wasaidizi) wameshindwa kwenda kupiga kura kwani walikuwa wapige kura kwa jiwe.
Kwa sababu ya usemi unaosema kuwa wa kwanza atakuwa wa mwishoEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Inakusaidia nini sasa?Anajihadaa, watu walishatoka usingizini.
Ukitaka kujua nani anatangazwa Rais angalia walinzi wenzako wa kura wapo wangapi.Nimepiga kura na Niko hapa hapa kituoni kwangu STOP OVER nalinda kura za AMIRI JESHI MKUU NIMPENDAYE T.A.M LISSU, aniguse mtu aone
Daah'!!
Sasa mkuu, watu wanakata tamaa kabla hata ya kupiga Kura kweli??
Huku ni kutokujitendea haki aisee
Inakusaidia nini sasa?
Mimi tayari nimeshachinja saccos!Unakonda kwani?
Uongo!Hawa majini wachawi si wanajiamini nini sasa hii
Uongo! Kituo gani?Kuna baadhi ya mabox ya kura zilizopigwa yamebainika ndani ya kituo kinyume na utaratibu.
Wahi kituoni ukapige kura.
Kapige kura ndugu muda bado upo. Kutopiga kura kwako ni tatizo kubwaMwaka huu sijashiriki mambo ya siasa tangu Lowasa aliponiangusha akarudi CCM, jambo lililoniumiza zaidi ni kumuweka Lissu wa mwisho kwenye list.