OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,713
Kwa hiyo unasemaje kama sio yangu,kura nishapiga nimempigia Lissu, ingeruhusiwa tuonyesha hasira ningetoboa toboa jina la Magufuli.Acha kuokoteza picha aisee, hiyo sio yako.
Kwa hiyo unasemaje kama sio yangu,kura nishapiga nimempigia Lissu, ingeruhusiwa tuonyesha hasira ningetoboa toboa jina la Magufuli.Acha kuokoteza picha aisee, hiyo sio yako.
Tujitokeze kupiga Kura Kwa wingi kama ambavyo tumekuwa tukijitokeza kwenye Kampeni jamani....
Basi leo amekaa kwenye foleni. Sasa hutaki?Niko naangalia TBC1 hapa, nimecheka hili igizo, eti waziri naye kapanga mstari na mkewe wanasubiri wapige kura! Hivi karne hii wanamdanganya nani wakati kila siku huwa tunasimamishwa barabarani zaidi ya masaa mawili kusubiri wapite?
WanaznguaaaNiko naangalia TBC1 hapa, nimecheka hili igizo, eti waziri naye kapanga mstari na mkewe wanasubiri wapige kura! Hivi karne hii wanamdanganya nani wakati kila siku huwa tunasimamishwa barabarani zaidi ya masaa mawili kusubiri wapite?
Sikuwahi kujua kama Diamond ni mjinga kiasi hikiNEC kwanini huyu kada wa ccm amabye huwa tunamuona kwenye majukwaa akipiga kampeni kwanini bado anafanya kampeni?View attachment 1614465
Daah'!!Watu wamepoteza imani na zoezi zima la uchaguzi kutokana na upikaji wa matokeo. Huo ndio ukweli, ni nadra watu wanaopenda ukweli kila mara kukutana na matokeo ya kupika. Sio kila mtu ni mvumilivu wa wizi.
Niko naangalia TBC1 hapa, nimecheka hili igizo, eti waziri naye kapanga mstari na mkewe wanasubiri wapige kura! Hivi karne hii wanamdanganya nani wakati kila siku huwa tunasimamishwa barabarani zaidi ya masaa mawili kusubiri wapite?
Kaandika hivi kupitia twitter:
Voting reports indicate widespread irregularities in the form of preventing our polling agents from accessing polling stations. Stuffed ballot boxes seized in Kawe, Dar. If this continues, mass democratic action will be the only option to protect the integrity of the election.
Toboa tuKwa hiyo unasemaje kama sio yangu,kura nishapiga nimempigia Lissu, ingeruhusiwa tuonyesha hasira ningetoboa toboa jina la Magufuli.
Wanajielewa ndio maana nimekueleza wanafanya kazi ili wapate mkate wa leo,ila wewe ndiye hujielewi .Hao ni baadhi ya vijana wasiojielewa
wengi wamejitokeza siku ya leo
Tumeshamalizana naye huku Kawe Mbezi Beach hata wakala hana!Halima mdee kakamatwa kwa vurugu kituo cha kupiga kura,
Anamwaga chozi balaa.
Daah ubunge mtamu.
Kuna baadhi ya mabox ya kura zilizopigwa yamebainika ndani ya kituo kinyume na utaratibu.Imekuwaje tena, tupeni habari kamili
Ukisikia nyuma geuka wa mwisho ndio anakuwa wakwanzaEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
#UAMUZI WA NAFSI; Umechapia kumtaja E. Chahali kwenye uzi wako mtu wa kitengo muasi. Maelezo marefu ambayo yameegemea upande wenye hisia zako. Anyway, that is a day light illusion...