Je, muamko wa vijana kujitokeza kupiga kura katika eneo ulipo upoje.

Nimefarijika kuona idadi kubwa ya vijana wamejitokeza kupiga kura, kura ya mabadiliko, kura ya kuamua hatima ya maisha yao ya baadae na vizazi vinavyokuja.

Ewe mama, ewe baba, ewe dada, ewe kijana hakikisha unaenda kupiga kura.

Aluta continua!
Vijana hawana muda mchafu wa kumpigia mtu kura wao wanatafuta riziki yao hapa kilimanjaro nawaona wazee Ru.
 
Kuna wazee na wabibi wameniomba niwasaidie kuwapigia kura hawajui kusoma....aisee sikuamin macho yangu,WABIBI NA MABABU WANAMTAKA LISSU...."kijana onesha lissu Yuko wapi,weka tiki hapo"
 
Zamani kura walikuwa wanapiga wazee. Nakumbuka mara ya kwanza kupiga kura nilikuwa naogopa kukaa kwenye mstari maana ilikuwa ni eneo nilipokulia. Sasa wazee wengi wameniona nikikua pale nikawa naona vibaya wakija wanakaa nyuma nipo mbele.

Lakini mambo yamebadilika sana miaka hii. Leo nimeona vijana wengi sana wanapiga kura hususan hawa ndugu zetu wa bodaboda.
 
Voting reports indicate widespread irregularities in the form of preventing our polling agents from accessing polling stations. Stuffed ballot boxes seized in Kawe, Dar. If this continues, mass democratic action will be the only option to protect the integrity of the election. Tundu Lissu.

 
Pengine umeshawahi kusikia jina la Profesa Allan Lichtman wa Marekani ambaye ana rekodi ya miaka 30 ya kutabiri kwa usahihi kabisa matokeo ya urais katika nchi hiyo...
Tabiri kama hizi nasikia zimefanikiwa sana. Mungu bado ni Yuleyule aliyemwokoa na dhahama zote atamsimamia.

Hivi hamjiulizi kwanini tume, maDED na washrika wao wanapata taabu sana mwaka hui kuliko wakati wowote wa uchaguzi?
 
-Voting reports indicate widespread irregularities in the form of preventing our polling agents from accessing polling stations. Stuffed ballot boxes seized in Kawe, Dar. If this continues, mass democratic action will be the only option to protect the integrity of the election.Tundu Lissu
Muha wewe! hapo akili yako inakwambia umeandika kiingereza ili aisome Bi Nancy Pelosi
 
#UAMUZI WA NAFSI; Umechapia kumtaja E. Chahali kwenye uzi wako mtu wa kitengo muasi. Maelezo marefu ambayo yameegemea upande wenye hisia zako. Anyway, that is a day light illusion. Hakuna mtu atatokea Tanzania kuchaguliwa kuwa RAIS kama moja wapo ya malengo yake aliyotamka waziwazi kwamba atashughulikia waliomtendea isivyopaswa kwa kadri anavyohisi..
Yeye alikataa kutumika kama.mtu wa kitengo kinyume na Sheria kanini na maadili ya kitengo. Anajielewa hahendekezi njaa na umaskini wake.
 
Zamani kura walikuwa wanapiga wazee. Nakumbuka mara ya kwanza kupiga kura nilikuwa naogopa kukaa kwenye mstari maana ilikuwa ni eneo nilipokulia. Sasa wazee wengi wameniona nikikua pale nikawa naona vibaya wakija wanakaa nyuma nipo mbele.

Lakini mambo yamebadilika sana miaka hii. Leo nimeona vijana wengi sana wanapiga kura hususan hawa ndugu zetu wa bodaboda.
Mambo yamebadilika, sana, kwa macho yangu nimeona na kusikia bodaboda wanahamasishana kwenye kijiwe chao wakapige kura na hio ilikua saa 12 asubuhi na mtu akitoka kupiga kura aobeshe kidole chake kuhakikisha amepiga kura
 
Niko naangalia TBC1 hapa, nimecheka hili igizo, eti waziri naye kapanga mstari na mkewe wanasubiri wapige kura! Hivi karne hii wanamdanganya nani wakati kila siku huwa tunasimamishwa barabarani zaidi ya masaa mawili kusubiri wapite?
 
mambo yamebadilika, sana, kwa macho yangu nimeona na kusikia bodaboda wanahamasishana kwenye kijiwe chao wakapige kura na hio ilikua saa 12 asubuhi na mtu akitoka kupiga kura aobeshe kidole chake kuhakikisha amepiga kura
Hii ni dalili njema
 
NEC kwanini huyu kada wa ccm amabye huwa tunamuona kwenye majukwaa akipiga kampeni kwanini bado anafanya kampeni?

Screenshot_20201028-105143.png
 
Back
Top Bottom