The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,117
- 50,928
Pamoja mleta thread.
Ni jambo Zuri ila si kwa Dunia ya sasa.Nampongeza sana Magufuli kwa kuzima mitandao, kuna watu wangeshinda katika mitandao badala ya kwenda kupiga kura. Huku katika mitandao hakuna vituo vya kupiga kura wote leo tukapige kura hakuna kisingizio na wale wataalam wa Twitter nadhani sindano imewachoma.
Kuna siri kubwa nyuma ya pazia kuhusu mitandao ya kijamii, narudia kumpongea mzee kwa kuweka MAKUFULI katika mitandao
Ni jambo Zuri ila si kwa Dunia ya sasa
Sababu yao ya kufanya hivi inachekesha sanaEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana.
Mimi whatsapp kwishnei ! Au ni Mimi tuuuuReserved for live updates....!!!
Ni wote. Kwa tunautumia mobile networkMimi wats up kwishnei ! Au ni Mimi tuuuu
Kwa nini wanachadema wasiende mlinda?Kulingana na post ya Freeman Mbowe insta,yupo katika hali ya hatari sana Sabaya na Ocd wa hai wanaongoza genge la uharifu dhidi yake sijui wanataka kumteka
Sababu za kitoto kabisa. No reason at all.Eti sababu ni kwamba Magufuli alirudisha fomu wa kwanza na Lissu wa mwisho. Utetezi usio na mashiko kabisa.
Fafanua mtifuano wa namna gani?Nipo Lyamungo sinde, Machame hapa kituoni, Mtifuano ni F. A. Mbowe na Saasicha Mafue. Nafikiri mtifuna huu mpaka saa 6 mchana utakuwa umefahamika muelekeo wake.
Ni advantage kwa woteEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Jimbo gani hilo?Leo Ndio Leo,kwenye Jimbo lililoongozwa na upinzani Miaka 25..
Je Priscus Tarimo Atavunja Mwiko huu? Au Raymond wa CHADEMA ataendeleza desturi?
Figisu,fitna,ubabe na mengineyo yote tupia hapa na mm nitakua nikikupa updates zote
Kazi kwelikweli! Ili tusichat badala yake tukapige kura! Ilibidi wafanye hivyo saa za Kazi na wanafunzi wakati wa mitihani! Nqvyo muhimuNi wote. Kwa tunautumia mobile network
Saasicha Mafue CCM na Kaka Mbowe Chadema jimbo la Hai. Mtifuano wa karne kati ya wananchi walio kengeuka na Kiongozi wa kambi Rasmi ya upinzani.Fafanua mtifuano wa namna gani????
Tume Ya Hovyo SanaEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana.
Tweeter imerudi hewani?!
CCM wataua mtu huko.