Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,156
- 6,307
Leo nimekupenda bure..Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Umeongea ukweli
Umeona ukweli
Leo nimekupenda bure..Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
HaaaaaaPapushikashi wewe ni mjumbe, kwa kweli ni mtu mbaya sana wewe. Nimefanya kama ulivyosema nimekamatwa na polisi, niko hapa Oyster Bay kituoni.
Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana.
Mkuu kapige kuraMitandao itakuwa inapatikana? Maana hii JF yenyewe lazima uisearch haiji moja Kwa moja.
Kituo kipo hapo kitandani?Mimi tayari Niko kituoni. SAA 9:45.
SAA ya Ukombozi ni sasa, majuto ni Mjukuu, usifanye makosa
Sasa mbona nimekamatwa?Haaaaaa....
Mkuu nimefika kituo Cha kupigia kura watu wanahangaika hawaoni majina yao maana yamekaa ovyo
Hii ndio njia rahisi
Mbinu ya ushindi bwasheEti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Ungekuwa wewe unge pangaje hiyo listi.Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana.
Ngurumo yuko ughaibuni atajuaje ya tz? Mwambie aje huku field asijifiche huko mafichoniTumesha sign petition ya Ngurumo, dunia ujue yanayo endelea Tanzania.
Takataka kama nyinyi nazi block!Kituo kipo hapo kitandani?
Ukiniita takataka na kuniblock ndio itasidia wananchi wasiende kumpiga chini Amsterdam na genge lake?Takataka kama nyinyi nazi block!
Huyo yuko save hanaga fujo za mihemuko kama wana ChademaKuna mzee tumepanda nae hice hapa kavaa jezi yake ya kijani na kofia kabisa,sasa sidhani kama anajua leo haitakiwi.
Mwaka huu sijashiriki mambo ya siasa tangu Lowasa aliponiangusha akarudi CCM, jambo lililoniumiza zaidi ni kumuweka Lissu wa mwisho kwenye list,
Magufuli Ushindi wakishindo