Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,949
- 103,302
Mkuu watu wanapiga kura then wanaondoka kuendelea nashuhulizao nyingine.
Alafu kuna vizimba vya kutosha ukifika hushangai shangai, watu wana pigakura fasta kwasababu huduma ipo fasta pia kwa waelekezaji.
Nawapongeza tume kwa hili.
Mkuu narudia tena, unajua maana ya watu 29m+?